Karibuni Tabora asali inakotokea

Karibuni Tabora asali inakotokea

Mbirani kwa Mwalimu Borafya.... Mpiga solo wa Sukasuka Jazz Band. Akina Mwalimu Katakula, Mwalimu Nyanza etc.

Mie nilikuwa Misheni kwa akina Mwalimu Katala. Mzee anacharaza hadi unajihurumia 🙁

Bila shaka umesoma Mbirani Primary School.
 
Kasie mizimu lazima niite nikutambulishe wakujue, utembeapo wawe na wewe, wakurunde, wakusaidie. Vumilia hivo hivo ata km huzipendi ngoma zetu lkn ndio kwetu mupenzi wangu.

Asante my dear. Na wewe ulale unono. Olote jiloti visoga....

Nakotogwile sn mkima wane ewe...

Mie mnyamwezi ila mizimu sitaki, ukiileta nakukimbia. Hao waachie machief wa Isike....
 
Ngoja nikale Matobolwa Wajamani Nilale. Kesho nakwenda kulima Mpande.

Muda ukifika inabidi akina Mama waimbe huku wanaSOKOLA Mpande.

Usiku mwaka
 
Mbirani kwa Mwalimu Borafya.... Mpiga solo wa Sukasuka Jazz Band. Akina Mwalimu Katakula, Mwalimu Nyanza etc.

Mie nilikuwa Misheni kwa akina Mwalimu Katala. Mzee anacharaza hadi unajihurumia 🙁
ila tulikua tuna wafunga sana mkuu yaani mlikua vibonde wetu ki_ soka ila walimu wenu walikua wakali sana.
 
Ile ID yako ya Zaman huitumii?
Kasinde

Siwezi kuitumia, nilivuruga password kwa kughafirika nilipo rudi kuwa sawa sikuweza kuikumbuka password. Backup email niliyo tumia kwenye ID ya Kasinde password yake pia niliivuruga. Niliwaomba mods waiunge ID ya Kasinde na hii ya Kasie ili iwe moja naona imeshindikana maana hawajafanya hivo.

Hivo naendelea na hii ya Kasie japo natamani sana ile ya Kasinde iunganishwe na hii ya Kasie.
 
Ngoja nikale Matobolwa Wajamani Nilale. Kesho nakwenda kulima Mpande.

Muda ukifika inabidi akina Mama waimbe huku wanaSOKOLA Mpande.

Usiku mwaka

Wabheja sana Sikonge, usiku mwaka. Igholoo
 
Ngoja nikale Matobolwa Wajamani Nilale. Kesho nakwenda kulima Mpande.

Muda ukifika inabidi akina Mama waimbe huku wanaSOKOLA Mpande.

Usiku mwaka
Uje na Nfulu na Ntalali na mantonga na mbuguswa na ndati na magongoti na misalasi na Zambarau na mapera hahahaaaa Kasie wangu upo eeeeh
 
Back
Top Bottom