Karibuni Tabora asali inakotokea

Karibuni Tabora asali inakotokea

Ipole getini pale pale
Great. Kuna mzee mmoja ni marehemu alikua anaitwa Dima Ng'olongo unamkumbuka?

Dah nilipita hapo mpk Koga darajani hapo mtoni nikaingia mpk katavi kwa Baiskeri hahahaaa Kasie wangu eeeh hayo maeneo Tembo kibao na simba
 
Mji wa kihistoria..
Makao Makuu ya Germany East Africa.

Kipindi hicho Kahama,Itigi,Mpanda zote zilikua ndani ya mkoa wa Tabora au Kazeh kama walivyoita Waarabu walipowasili hapo..

Sasa angalau barabara za lami za kuunganisha na mikoa mingine zimeanza kukamilika. Pameanza kubadilika sana..
 
Great. Kuna mzee mmoja ni marehemu alikua anaitwa Dima Ng'olongo unamkumbuka?

Dah nilipita hapo mpk Koga darajani hapo mtoni nikaingia mpk katavi kwa Baiskeri hahahaaa Kasie wangu eeeh hayo maeneo Tembo kibao na simba

Wewe mpaka nahisi utakuwa ndugu yangu, hayo maeneo yote nilipita miaka hiyo na wazazi wangu.

Nilikula sana samaki wa mto Koga pale. Enzi zile barabara mbovu kutoka Tabora mjini hadi kijijini tunapanda Lori daah..... mnafika mahali mnashuka wanaume wanasukuma gari linakuwa limekwama kwenye michanga.
 
Hiviii nyuki kazi yake ni kuyafanyia "pollination" maua kwa maana nyingine yeye ndiye ANAKATA UTEPE! hiviii huo uchafu wa NICOTINE unakujaje kujaje wakati kazi ya nyuki ni kukata UTEPE kwenye UA ambalo bado halijatusuliwa? Ingekuwa ni Majani au Magome ya mti wa Tumbaku sawa!

Au asali hii yenye NICOTINE ni Tabora ileeee ya OXYGEN na WHATSAPP!
 
Wewe mpaka nahisi utakuwa ndugu yangu, hayo maeneo yote nilipita miaka hiyo na wazazi wangu.

Nilikula sana samaki wa mto Koga pale. Enzi zile barabara mbovu kutoka Tabora mjini hadi kijijini tunapanda Lori daah..... mnafika mahali mnashuka wanaume wanasukuma gari linakuwa limekwama kwenye michanga.
Hahahahaaaa

Kasie ata km nikiwa nduguyo tutatoa ng'ombe za masumule.

BTW, samaki ni wengi sn wakati wake hiyo mitaa Ya Koga. Kutoka Ipole pale ndio kulikua na michanga ktk Kapoli Fulani hivi. Barabara zilikua mbovu basi likipita asubuhi ni mpk kesho tena. Hiyo mitaa unaingia mpk Inyonga
Nyama za polini kibao wakati huo
 
Hiviii nyuki kazi yake ni kuyafanyia "pollination" maua kwa maana nyingine yeye ndiye ANAKATA UTEPE! hiviii huo uchafu wa NICOTINE unakujaje kujaje wakati kazi ya nyuki ni kukata UTEPE kwenye UA ambalo bado halijatusuliwa? Ingekuwa ni Majani au Magome ya mti wa Tumbaku sawa!

Au asali hii yenye NICOTINE ni Tabora ileeee ya OXYGEN na WHATSAPP!

Ngoja wanasayansi waje kuelezea zaidi. Nnachofahamu hilo ua kabla halijachavushwa analokata nyuki tayari linakuwa na nicotine ndo kuelekea asali kuwa na nicotine na waligundua kwa kupima kiwango cha nicotine kwenye asali iliyotoka Tabora.
 
Hiviii nyuki kazi yake ni kuyafanyia "pollination" maua kwa maana nyingine yeye ndiye ANAKATA UTEPE! hiviii huo uchafu wa NICOTINE unakujaje kujaje wakati kazi ya nyuki ni kukata UTEPE kwenye UA ambalo bado halijatusuliwa? Ingekuwa ni Majani au Magome ya mti wa Tumbaku sawa!

Au asali hii yenye NICOTINE ni Tabora ileeee ya OXYGEN na WHATSAPP!
Hivi naomba kuuliza....

Tumbaku ina Nicotine ama Nicotine huwekwa kwenye tumbaku ikifika kiwandani tena kwa baadhi tu ya sigara..

Niliaminishwa kuwa sigara kali ni salama zaidi sababu haina nicotine ni tumbaku asilia..

Tafadhali
 
Hahahahaaaa

Kasie ata km nikiwa nduguyo tutatoa ng'ombe za masumule.

BTW, samaki ni wengi sn wakati wake hiyo mitaa Ya Koga. Kutoka Ipole pale ndio kulikua na michanga ktk Kapoli Fulani hivi. Barabara zilikua mbovu basi likipita asubuhi ni mpk kesho tena. Hiyo mitaa unaingia mpk Inyonga
Nyama za polini kibao wakati huo

Hahahahahhaaa nilikula sana nyati na swala kipindi hicho, babu yangu alikuwa na bunduki anaenda kuwinda.

Uko sawa kabisa hiyo unayoelezea. .... unanipa taswira ya hayo maeneo yaani naona hadi barabara ilivojaa mchanga. Kipindi cha masika maji na tope kiangazi mchanga.

Huko Inyonga pia tuna ndugu zetu wengi tuu.

Nilikula sana nsansa na nswalu zilizoungwa na karanga.
 
Back
Top Bottom