Recent content by wakyl

  1. W

    Stika ya "Nenda kwa Usalama" imekuwa kero

    Habari wana jamvi, Hii issue ya stika za nenda kwa usalama limekuwa kama uchawi. Wazee wa favor wanatusumbua kweli kweli hivi zina umuhimu? Kwanini zisitolewe? Unakuta gari mpya namba E haina hata mwaka imekaguliwa na TBS ila unaombwa stika. Huku Umeme mgao, kule stika na kule mikopo ya Elimu...
  2. W

    Utumishi mjiongeze kwa hili kwa suala la usaili kufanyika Dodoma pekee

    Kwanini wasiingie makubaliano na chuo kikuu huria ambacho kina matawi mikoan nchi nzima hadi unguja na pemba. Watu wakawa wanafanyia mtihani kutoka katika maeneo yao husika alafu usahili wa vitendo (oral) ukafanyika kikanda
  3. W

    Pendekezo: Charles Kimei ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    Hao jamaa wote ni practitioners, hakuna mtu nchi hii ana lugha rahisi ya kuelezea uchumi kama Prof Ngowi apart from being a bookworm he is also successful in businessman
  4. W

    Pendekezo: Charles Kimei ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    Hawa ndo wanastahili: 1. Prof Ngowi wa Mzumbe 2. Dkt. Chegere UDSM 3. Dkt. Muhsin PBZ 4. Lawrence Mafuru
  5. W

    Wizi salender bridge bado upo

    Maeneo hatarishi yanafahamika miaka nenda rudi lakini hakuna hatua zozote
  6. W

    TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14

    Hata picha za kumbukumbu na Marais wastaafu, viongozi wa mihimili hakupiga why?!
  7. W

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na utani katika elimu

    Pole sana kapambane tu na OREX, kwa warembo hii itawafaaa sana maana watafaulu kishenz kama wanavyofaulu interview kwa huruma [emoji28]
  8. W

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na utani katika elimu

    Kwa wanafunzi wa kada za sayansi ya jamii kidogo unaweza ukawa taini kwa huu mfumo sio science halisi utakuwa unajidanganya utengeneze engineer kwa kumuuliza ka viswali vya kujieeleza viwili kwa dakika 15 kama alivyosema mtoa mada. Science is fact mzee oohooo
  9. W

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na utani katika elimu

    Interview na mtihani ni vitu viwili tofauti, Sio kila kitu kikifanywa na wenzetu sisi tuige. Kwa nchi yetu mfumo huu wa mitihan bado sana sidhan hata hao wahadhiri wanaufahamu wa huu mfumo, unaweza kuta hata training hawajapewa kinachofuata ni kuumiza wanafunzi
  10. W

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    🤣🤣🤣🤣 mganga njaaaa nakusalimu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. W

    Liverpool itaadhibiwa vibaya na club cha flamingo ya Brazil

    Shaikh Yahya umelala? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. W

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sent using Jamii Forums mobile app
  13. W

    Uhamiaji Badilikeni: Acheni kufanya kazi kwa mazoea

    Wanakwamisha watu makusudi ili uende kwa vishoka wao wanacharge 300,000 passport moja kwa usumbufu wa passport Anna Makakala jitathimini
Back
Top Bottom