Habari wana jamvi,
Hii issue ya stika za nenda kwa usalama limekuwa kama uchawi. Wazee wa favor wanatusumbua kweli kweli hivi zina umuhimu? Kwanini zisitolewe? Unakuta gari mpya namba E haina hata mwaka imekaguliwa na TBS ila unaombwa stika.
Huku Umeme mgao, kule stika na kule mikopo ya Elimu...
Kwanini wasiingie makubaliano na chuo kikuu huria ambacho kina matawi mikoan nchi nzima hadi unguja na pemba. Watu wakawa wanafanyia mtihani kutoka katika maeneo yao husika alafu usahili wa vitendo (oral) ukafanyika kikanda
Hao jamaa wote ni practitioners, hakuna mtu nchi hii ana lugha rahisi ya kuelezea uchumi kama Prof Ngowi apart from being a bookworm he is also successful in businessman
Kwa wanafunzi wa kada za sayansi ya jamii kidogo unaweza ukawa taini kwa huu mfumo sio science halisi utakuwa unajidanganya utengeneze engineer kwa kumuuliza ka viswali vya kujieeleza viwili kwa dakika 15 kama alivyosema mtoa mada. Science is fact mzee oohooo
Interview na mtihani ni vitu viwili tofauti, Sio kila kitu kikifanywa na wenzetu sisi tuige. Kwa nchi yetu mfumo huu wa mitihan bado sana sidhan hata hao wahadhiri wanaufahamu wa huu mfumo, unaweza kuta hata training hawajapewa kinachofuata ni kuumiza wanafunzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.