Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na utani katika elimu

Ingekuwa ni chuo cha private TCU wangekuwa wameshafika Zamani sana, hatukatai mapinduzi katika elimu lakin yawe na uhalisia chuo kikuu huria kimekuwa kimbilio la wengi hasa wanachi wenye kipato cha chini Leo hii unamwambia mtu yupo ludewa mambo ya kufanya mtihani online sio tu internet pengine hata laptop hana

Pia hii oral asssessment ni very simple hata mbumbumbu anaweza kuelezea nadharia ya kitu kimsingi ni confidence tu inamfaulisha mwanafunzi. Tuache utani na elimu yetu aiseeee

Sidhan kama hili swala Mwenyekiti wa council Prof Mukandala anajua hawezi kuruhusu ujinga huu eti kisa COVID. Ndomana ma Daktari was pale wengi vihio wazee wakupeana vyeo
 
Tahadhari zidi ya COVID zinaweza kuchukuliwa hata kwenye chumba cha mtihani sio kwa mtu kufanya mtihani kwa ZOOM alafu msimamiz mmoja yupo mwanza mwengne Pemba na mtihani ni dakika 15 tu. Hivi unaelewa tunachotaka kutengeneza hapo

Kwanza kwa internet ya huko interior ni kutaka tu kumfelisha mwanafunzi 15 minutes zitaenda mpaka 1 hour mwanafunz mmoja
Vijana wa sikuhizi kila kiyu mnalalamika.

Mie nimefanya mitihani yangu ya mwisho Mwaka 2011 na mingo Kati ya hiyo nimefanya KWA kuongea na kozi ni Tectonic Engineering hesabu ndo nyumbani kwao module kibao

Wewe Mwaka 2020 unalalamika kutahiniwa kwa kuongea

Halafu mkija kwenye interview huku MTU anatetemeka hadi unamuhurumia mnamwambia tu ondoa wasiwasi kijana.kuongea sio saw a na kuandika mayo inabifi uwe na uzoefu KWA maana hiyo ilipaswa mfurahie na kujiandaa muwe mnafanyiana mitihani nyie wenyewe KWA kuzungumza. MTU presentations tu za assignment anakaaga nyuma Nyuma wrenzake waongee na mtihan unalalamika. Dunia haisimami kuwasubiri nyie msioweza "kusovu" hesabu KWA kuongea na umekaa chuo miaka 4+
 
Wabongo tumeshamezeshwa kuwa elimu ni kitu kigumu sana. Elimu sasa sio ya mwaka 47.
Hapa wale jamaa wa SUA wanakuelewa. Watu waliohitimu SUA wanawaona graduates wengine woote kama viazi au viwadu kisa tuu ma lecturer wao wanapeleka puta puta mwendo wa mateka huko sua.... kwa hiyoo wanaamin elimu ni kitu kigumu sana
 
Habarini mihangaiko wana jukwaa,

Nawaleteeeni habari cha kushangaza kutoka chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT) wao wamekuja na mpya kufanya mitihani kwa kuongea? Tunataka tuzalishe wataalamu wa Aina gani. Mh Rais wetu ametangaza kufungua vyuo vyote hapo June ila kwanini hawa wenzetu wameng’ang’ania kuleta huu utani katika elimu? Eti mwananfunzi Atafanya mtihani kupitia ZOOM . Wahusika embu ingilieni Kati hili swala huku ni kucheza na elimu yetu (pata picha hesabu unajibu oral are we serious?)
Hawa ndio wanateka soko la vyuo binafsi vilivyofungiwa,inaniuma mno kwenda kusoma out,nakereka mno kwa watumishi evening sessions hii imenikera mnoo😴😴😴😴😌😌😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😣😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
 
Ww unashaulije sasa mkuu

Kama issue ni COVID cha msingi ni kuchukua tahadhari tu, mitihani ifanyike katika halls kubwa wanafunzi wavae barakoa wakae mita moja wa sanitize kabla na baada

Tusitake kuharibu elimu yetu kisa corona

Huo mfumo wao wa kufundishia tu umewashinda juzi tu hapa wamekaa karibu mwezi wanafunzi hawasomi leo hii wanataka kuja na oral exam kwa ZOOM acheni utani nyinyi.

DVC academic wao anatamba kwamba ni kitAkuwa chuo cha tatu duniani kufanya oral exam, tusitafute sifa wakati uwezo hatuna.

TCU angalieni hii mitaaala inavyochezewa mtakuwa answerable
 
Oral exams kama concept haina tatizo. Kinachotakiwa ni kuwa na miundombinu na mifumo dhabiti (quality control). Changa moto zipo hasa kama wananfunzi ni wengi na wakufunzi ni wachache. Lakini kama chuo kimejiandaa hakuna matata. Vyuo vya afya na veterinary ni kawaida kuwa na oral exams zikiambatana na written pamoja na practical exams.
Kwa Simple maelezo solve quadratic equation au ndo itabidi utoe maswali rahisi yanayoendana na technology

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee_Londo.
Naona umehamaki na kusikitishwa na aina ya mtihani unaoenda kufanyika katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Umekuja na bandiko lako pengine bila kufanya utafiti kidogo juu ya nini maana ya Elimu Masafa/(Distance Education) lakini pia hujafanya utafiti wa kutosha wa namna Chuo hiki wanavyo fanya elimu watoayo kuwa ya viwango bora!

OREX ni moja ya assessment bora sana ya kumjenga mtahiniwa kujiamini na kuwasilisha core concepts of the subject or topic! kila somo lina theory! iwe hesabu au physics!

Na maswali ya OREX yanatungwa kuakisi aina ya mode of delivery! OPEN wana mjenga mwanafunzi katika nyanja zoote, iwe katika kuwasilisha kwa njia ya maongezi (Oral examination) au Mtihani wa kuandika (Written Examination)

Na moja ya faida ya Oral examination ni kujenga uwezo wa kujiamini kwa mwanafunzi katika kuwasilisha mada/jambo/au taarifa inayohusiana na eneo alilo bobea katika fani yake, iwe mbele ya viongozi, wananchi, vikao au seminar!

Nasikitika sana watu kuendelea kuwa na fikra moja ya uwasilishaji wa Elimu! watanzania tuamke! tunahitaji kusogea mbele, na kuachana na mitaala ya kizamani tuliyo karirishwa!

Leo hii baada ya Covid19 kuingia tz, baadhi ya ofisi ziliendesha vikao kwa njia ya Mtandao na hasa kwa hiyo ZOOM APP! na moja ya ofisi izo ni pamoja na ninayo fanyia kazi.

Naomba nikuambie tu, kiukweli bado tuko nyuma, haya mambo hatujazoea, ni mtihani mkubwa sana! unakuta mtu anapinga kuwa online hatuta jadili vizuri sabab hatuonani, hivyo hatuta zitendea haki agenda muhimu! akilini unatambua kabisa huyu bado yuko nyuma ya teknolojia.

OREX ni muhimu sana kwa chuo hiki kwakuwa kina wanafunzi wengi, lakini wanafunzi wako kila pande zote za nchi hapa Tanzania. Hivyo ni muhimu kurahisisha aina ya ku assess uwezo wa mwanafunzi hata wa yule aliyeko Idukilo.

Binafsi nimewapongeza sana kwa hatua hii muhimu na kiteknolojia ya kisasa.
 
Kwa wanafunzi wa kada za sayansi ya jamii kidogo unaweza ukawa taini kwa huu mfumo sio science halisi utakuwa unajidanganya utengeneze engineer kwa kumuuliza ka viswali vya kujieeleza viwili kwa dakika 15 kama alivyosema mtoa mada. Science is fact mzee oohooo

Mkuu, naona watu huwa wanakuja na mada kabla hawajafanyia utafiti!
Ni kuwa Oral Exams ni moja ya assessments kwa mwanafunzi!!
Mwanafunzi Wa sayansi hapimwi kwa angle Mbili tu, ambazo wengi tumezoea, yaani Practical and written! tuna sahau Oral presentation ya kile alichokifanyia mazoezi na written Exams.

Ndio maana unakuta mwanafunzi ame pass kwa A masomo yote, ukimuuliza swali au afanyiewe interview ya unaona kabsa hofu inamjia, anatetemeka, jasho linamtoka!

Hii yote ni kwakuwa wanafunzi hawajengewi uwezo wa kujiamini katika kuwasilisha mada kwa njia ya kuongea.
 
Interview na mtihani ni vitu viwili tofauti, Sio kila kitu kikifanywa na wenzetu sisi tuige. Kwa nchi yetu mfumo huu wa mitihan bado sana sidhan hata hao wahadhiri wanaufahamu wa huu mfumo, unaweza kuta hata training hawajapewa kinachofuata ni kuumiza wanafunzi

Ukiambiwa uprove kama wahadhiri hawana ufahamu wa uwo mfumo utaweza?

Unadhani OUT ni wapumbavu kuja na huwo mfumo?

Kuwa na attitude nzuri sio kila kitu ni kibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naweza sema mleta mada Ni mshamba

Hio naifanisha na interview yako kuomba kazi ile ya oral

Je nayo ni utani ama Ni chuki zako binafsi na hiko chuo

Akili mgando sana

Tuko katika Zama za hatari za korona na uzuri teknolojia iko advanced why unaona utani

Kiazi kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Alokwambia tupo zama za hatari ni Nani? Nyie ndo wapotoshaji Wakubwa hivi kauli za viongozi wetu kwamba tumeishinda corona unaona ni upumbavu?

Alafu bwana mdogo jifunze kuwasilisha mada bila matusi, tetea Hoja zako kistaarabu
 
Back
Top Bottom