Recent content by Wakutu

  1. Wakutu

    GE2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

    Upo sahihi kabisa
  2. Wakutu

    Mwisho wa dunia ni Kati ya mwaka 2100 / 2500 na hizi ndio sababu zangu

    Bonge moja la story ukiwapelekea Malvel utapata mkwanja mnene sana alafu wenyewe wanaweka ktk movie zao zile za fiction. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Wakutu

    Yupi ndiye msanii bora zaidi kwa sasa Afrika?

    Burna Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Wakutu

    NMB wamekataa kupokea taarifa ya kuzuia miamala baada ya kadi ya benk kuibiwa matokeo yake wahalifu wamefanikiwa kutoa pesa

    Walikuwa sahihi kabisa,sheria lazima ifuatwe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Wakutu

    Behind the Scene: Uchaguzi wa Zanzibar 2015

    Story ina mpangilio wa hovyo na uwasilishaji wa hovyo hii mpaka inachosha yaani. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Wakutu

    Ijue historia ya mgogoro kati ya Iran na Marekani

    Sawa tunasubiri Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Wakutu

    Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

    Haaaaahaaaaaa mi nillishangaa aisee,gaidi wa maigizo yale alipiga kilemba cha kule mashariki ya kati
  8. Wakutu

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Katika ukurasa wake wa Instagram iko mbali nendeni kule
  9. Wakutu

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Bosi wangu huyu pale Chelsea heeeheeee.
  10. Wakutu

    Google yatangaza kuacha kufanya kazi na Kampuni ya Simu ya Huawei! Yasema imefuata amri ya USA

    Hivi unajua kuwa hizo Tecno hata china kwenyewe hazipo,wachina wengi hawazijui,yani hizo zinatengenezwa kwajili ya Afrika tu.
  11. Wakutu

    Nijuzeni kazi za gari lenye machuma mengi kwenye msafara wa Rais

    Kumuua hapohapo mtu alomshoot raisi ni kosa kubwa sana la kiintelijensi,mtu huyo inabidi apatikane akiwa hai kwa gharama yoyote ile yan kuua ni jambo la mwisho,ukimuua utakua pia unewafurahisha hata walomtuma sababu ushahidi mkubwa na chanzo kikubwa cha upelelezi wote umeuharibu palepale.
  12. Wakutu

    Ukweli usioujua kwanini unalipa bili kubwa ya umeme ingawa matumizi yako ni kidogo

    Aisee umenifungua sana ndugu,baadae nitatulia nitarudia tena ili ikae kichwani vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Wakutu

    Nimeambiwa nirithi mke wa kakaangu

    Umeamua uamuzi sahihi huyo mtoto ni damu yako,chukua usukani endesha gurudumu.
Back
Top Bottom