Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

Nimeangalia lile zoezi na kwa upeo wangu nikaona kama la kawaida. Au ndio yale ukiwa nje ya uwanja. Kubwa nililoona pale ni kuwa wakati helkopta iko pale juu ikishusha waokoaji, sikuona wengine wakiwa na silaha mle ndani kwa lengo la kuangaza nacho pande zote na kwa mbali kujiepusha na adui. Kwa mfano adui angekuwa mbali kama mita mia hamsini hivi na akaamua kurusha kombora ingekuwaje?
Mkuu helicopter ilitua baada ya crusser kushusha wengine
 
Nimeangalia lile zoezi na kwa upeo wangu nikaona kama la kawaida. Au ndio yale ukiwa nje ya uwanja. Kubwa nililoona pale ni kuwa wakati helkopta iko pale juu ikishusha waokoaji, sikuona wengine wakiwa na silaha mle ndani kwa lengo la kuangaza nacho pande zote na kwa mbali kujiepusha na adui. Kwa mfano adui angekuwa mbali kama mita mia hamsini hivi na akaamua kurusha kombora ingekuwaje?

Obsession - When reasoning is overtaken by Ego
 
Ubezaji wa si tabia njema. Hili ni jeshi letu, tulipende. Ulinzi wa mipaka yetu unawategemea wao kwa asilimia kubwa. Tuwape moyo waendelee kuwa na morale. Vile vile, tusilinganishe movies ambazo zimekuwa edited na mambo ya live. Mapigano ni profession, sio kila mtu anaweza kuchambua
Jaribu kuficha ujinga basi... Comando anashuka Dalila nzima anahangaika kufungua kamba..... Na wale ni mateka VIP wanatakiwa kwenda na "stealth mode" kimyakimya ... Huwezi kwenda kuokoa VIP na mikelele labda mateka wengi .....
 
,helicopter utazani ya ambulance, JPM stopisha hiyo miradi watafutie vijana helicopters za kueleweka kama hii haizidi bilion 50tsh tu
havoc1.jpg
 
Kutafuta kuonekana wanajuwa kumbe hamna kitu,vitu vingine iwe siri yao makambini huko ,binafsi nawakubali sana TISS wapo kipekee sana sijui na ubora wa viwango vya elimu na upeo wa watu wao una wabeba ,hao makomando huwa ni division zero wa form four.
Hata TISS wapo wenye elimu ndogo. Nilianza kuwadharau kielimu baada ya mwanafunzi wangu wa four ya 31 kuajiliwa huu uko baada Ya kula kwata mlale JKT
 
Hamna kitu pale kama mabondia wa juzi, maokozi hayatakiwi kuwa pole pole kiasi kile tutapoteza nguvu kazi na helcopta yenyewe.
 
Screenshot_20191209-181343.jpg
Nimeangalia lile zoezi na kwa upeo wangu nikaona kama la kawaida. Au ndio yale ukiwa nje ya uwanja.

Kubwa nililoona pale ni kuwa wakati helkopta iko pale juu ikishusha waokoaji, sikuona wengine wakiwa na silaha mle ndani kwa lengo la kuangaza nacho pande zote na kwa mbali kujiepusha na adui.

Kwa mfano adui angekuwa mbali kama mita mia hamsini hivi na akaamua kurusha kombora ingekuwaje?
 
Jamani yale yalikua ni maonesho na yalitakiwa yafanywe kwa uangalifu mkubwa kwenye watu wengi kiasi kile, kazi halisi ya kumuokoa VIP inahusisha mambo mengi na wangeweza kuifanya kwa muda mfupi sana
 
Yan sijaona kipya pale yote nishaona kwenye movie Tena Bora hata wale sungusungu wa kisukuma..ilinibidi niendelee tu kuchat
Oooh so sweet[emoji7][emoji7]
 
Hivi Mo sio VIP?! Walikua wapi wkt anachukulia kirahisi kabisa na kirudishwa?!
HIZI SANAA ZA AWAMU HII HTR SN
 
Ile ni demo tuu...

Ila in real situation, wanakuwepo mpaka snipers, ukijichanganya tu, wanakufumua...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom