Bila kuwa na ujuzi sahihi juu ya mungu wa kweli na wapekee huwezi pata uzima wa milele wengi wanapotoshwa na udanganyifu wa mfumo huu wamambo mpaka kufikia kusema hakuna mungu hiyo ni kazi ya ibilisi shetani
Wah
Wapumbavu husema hakuna mungu lakini mungu anajisibitisha kwa kazi zake nyingi na zilizo wazi kwa mfano wazia nyumba unayoishi ina mtu aliyechora ramani na kuijenga je ulimwengu wetu huu tunao kaa u nadhani ulijitokeza tu kwa bahati nzuri bila kuwepo mtu mwenyewe nguvu na akili kubwa ya kuufanya...
Wenye dhihaka la zima waendelee kudhihaki mana yesu alisema kamailivyo kuwa katika siku zanuhu mpaka anaingia kwenye safina na malikia anafunga mlango ndiyo itakavyokuwa hata siku ile ya hukumu ya ulimwengu wote itatokea gafla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.