Recent content by Wababa

  1. W

    Regia Mtema is No More!

    RIP mtema
  2. W

    Jaribio la kuiba dhahabu katika mgodi wa Geita (GGM) lazimwa

    Safi sana, wafanye jitahada waende na north mara, ila wasibugi step kama walivyochemka GGM.
  3. W

    Report card ya wabunge wa Dar: Halima Mdee

    Do u think is easy??? Itakula kwako, pole sana, nakushauri hata usidhubutu
  4. W

    Kurudia mtihani

    thanx m2 wangu, ubarikiwe xana
  5. W

    Kurudia mtihani

    Na kwa anayeweza kunifahamisha, ninaweza kurudia hata masomo ma 4, au system ilipo ni kurudia yote?? Pls nisaidieni hapo ndugu zanguni
  6. W

    Kurudia mtihani

    poa m2 wangu, i hope nitaweza, cause nimepania kuweza.
  7. W

    Kurudia mtihani

    cyo ushauri niliokuwa nataka, u show how stupid you are!!
  8. W

    Kurudia mtihani

    Thanx kijuche ndugu yangu, naombeni wadau wengine mnijulishe naweza rudia mitihani mitatu ambayo nakuwa na uhakika nayo au mpk nirudie hiyo mitihani saba??? Nijuzeni pls.
  9. W

    Dereva matata

    Kauzu zaidi ya dagaa
  10. W

    Kurudia mtihani

    Thax m2 wangu obe, ubarikiwe kwa kunijaza matumaini, i hope nitakomaa na nitaweza tuu
  11. W

    Kurudia mtihani

    Nisaidieni waungwana, nina D moja tuu ya form iv, na nimemaliza mwaka elfu mbili na nne, nataka nirisit masomo matano, jaman ntaweza kuyahimili kweli wkt nafanya na kazi??
  12. W

    Bangi noma aseeeh!

    Marudio haya wewe
  13. W

    wana Jf mnayo taarifa hii?

    Hahahahahahahahaha tena walikuwa wa CCM hao.
  14. W

    TAHADHARI: zeutamu imerudi tena.

    Kumbe zee aaaaaash, oooooh, tamuuuuuu, kumbe ipo?
  15. W

    Hii kaliii

    Jamaaa alisepa mbayaaa na zoezi lake likawa limeishia hapo hapo.
Back
Top Bottom