kwa muda uliokaa home baraza la mitihani linakutambua wewe kama babu au bibi sasa mchakato uko hivi unatakiwa uanze mwakani 2012 form one na two yaani QT then form three and four 2013 utapiga tena pepa ya four.!!!!! utu uzima dawa komaa ndugu then neshino sevis inakusubiri sasa naamini elimu haina mwisho..................
@Ndebile, nikupongeze kwa jitihada ulizofanya, binafsi nilimaliza mbele yako na nikabahatika kusoma A-levo Ndanda, kutokana na hili, ningependa kutoa ushauri wangu kidogo kuhusu wewe kusoma masomo ya Adv sec, vipi kama ungejiunga na masomo ya chuo ngazi ya cheti, then mwaka unaofuata unajiunga na stashahada. Wakati mwingine (kutokana na umri) kwenda masomo ya A level ni kupoteza muda mwingi shuleni.
Hata hivyo kupanga ni kuchagua, na nilijaribu kutoa maoni yangu kuhusu hili, Boxing day njema
nashukuru kwa ushauri wako lakini hebu fikiria,age 37 niweke diploma miaka mitatu,degree miaka mitano...nafikiria kusoma Vet.medicine....kumbuka ninabadiri profession. Nadhani njia hii ya A-level ni fupi kidogo au unasemaje.
Nawe pia nakutakia boxing day njema.
mkuu,co kwamba nakukatsha tamaa bt kiukweli,umri umesonga sana,ni vzr ungesoma kozi fupi fupi kama uhasibu nk.lakn huko unakokutaka ni parefu na pagumu sana.
Naturally napenda mambo magumu sijuhi kwa nini? Kama ningekuwa nawahi ajira,nadhani hapo ningekubali lakini tayari ninayo ajira ya kudumu kilichobaki ni kutimiza ndoto yangu. Uhasibu bwana ha!kujiajiri ni ngumu....napenda wanyama.
kwa fikra hzi hata QT huchomoki.......kimtindo nenda VETA kasome mapishi..cyo ushauri niliokuwa nataka, u show how stupid you are!!
Kwa kifupi ulipata daraja 0,katika kusoma ni vigumu kupata daraja la kwanza na daraja 0,mkuu mimi siwezi kukuficha na wala siwezi kuzunguka mbuyu!uwezo wako ni mdogo,kama unataka kurudi vitani ni lazima ufanye utafiti yakinifu ili kujua udhaifi wako ili uweze kukabiliana na changamoto za sasa!kwa kifupi una kazi nzito na unapaswa ujitahidi sana!