Kurudia mtihani

Wababa

Senior Member
Jul 21, 2011
158
14
Nisaidieni waungwana, nina D moja tuu ya form iv, na nimemaliza mwaka elfu mbili na nne, nataka nirisit masomo matano, jaman ntaweza kuyahimili kweli wkt nafanya na kazi??
 
Mhm...!!jiangalie kwanza kichwa chako kina uwezo gan mkuu!
 
Hakuna kinachoshindikana kama hali na nafasi vinakulazimu kufanya hivyo, kikubwa hapa ni kuhakikisha unachagua masomo ambayo una hakika utaweza kuyaelewa vizuri unapofundishwa, yapo madarasa ya watu wa QT yanaweza kukusaidia sana kufanikisha malengo yako.

Unahitaji kutenga muda na kutumia muda wako na saikolojia yako uiweke kiuanafunzi ili uweze kujisomea na kujichanganya kwa walio karibu wanaoweza kukusaidia kufuta hayo matokeo mabovu uliyopata.
Kama umeamua unaweza, ondoa hofu
 
Thax m2 wangu obe, ubarikiwe kwa kunijaza matumaini, i hope nitakomaa na nitaweza tuu
 
Pia jaribu kufuatilia kiundani pale baraza la mitihani au kwa wadau wengine wa elimu ni masomo mangapi unatakiwa kuchukua wakati wa kureseat maana kama nilisikia kwa watu(informal source) kwamba kwa sasa inabidi urudie masomo yasiyopungua saba na uhahikishe unapata credit 3 at the same sitting sio zile za kuungaunga tena. Wadau wengine watakujuza zaidi juu ya hili..
 
Thanx kijuche ndugu yangu, naombeni wadau wengine mnijulishe naweza rudia mitihani mitatu ambayo nakuwa na uhakika nayo au mpk nirudie hiyo mitihani saba??? Nijuzeni pls.
 
kwa muda uliokaa home baraza la mitihani linakutambua wewe kama babu au bibi sasa mchakato uko hivi unatakiwa uanze mwakani 2012 form one na two yaani QT then form three and four 2013 utapiga tena pepa ya four.!!!!! utu uzima dawa komaa ndugu then neshino sevis inakusubiri sasa naamini elimu haina mwisho..................
 
kwa muda uliokaa home baraza la mitihani linakutambua wewe kama babu au bibi sasa mchakato uko hivi unatakiwa uanze mwakani 2012 form one na two yaani QT then form three and four 2013 utapiga tena pepa ya four.!!!!! utu uzima dawa komaa ndugu then neshino sevis inakusubiri sasa naamini elimu haina mwisho..................

cyo ushauri niliokuwa nataka, u show how stupid you are!!
 
mimi ni mwenzako,niko kazini...ninafamilia ya watoto 2,nilimaliza fIV 1998 na D ya Kiswahili na D ya Siasa tu.
2010 nilirudia necta nikapata div.III. Hapa nilipo nimeanza kujisomea masomo ya fV. & VI comb.PCB, nitafanya mtihani 2013. Nimelazimika kuandika yote haya ili nikutoe wasiwasi kuhusu kufanya mtihani kama private candidate.
Naamini utaweza sana kama una nia. Kuna 'mitego' ambayo wengi wa watahiniwa huwanasa.....ukipenda ni PM.
 
Kwa kifupi ulipata daraja 0,katika kusoma ni vigumu kupata daraja la kwanza na daraja 0,mkuu mimi siwezi kukuficha na wala siwezi kuzunguka mbuyu!uwezo wako ni mdogo,kama unataka kurudi vitani ni lazima ufanye utafiti yakinifu ili kujua udhaifi wako ili uweze kukabiliana na changamoto za sasa!kwa kifupi una kazi nzito na unapaswa ujitahidi sana!
 
@Ndebile, nikupongeze kwa jitihada ulizofanya, binafsi nilimaliza mbele yako na nikabahatika kusoma A-levo Ndanda, kutokana na hili, ningependa kutoa ushauri wangu kidogo kuhusu wewe kusoma masomo ya Adv sec, vipi kama ungejiunga na masomo ya chuo ngazi ya cheti, then mwaka unaofuata unajiunga na stashahada. Wakati mwingine (kutokana na umri) kwenda masomo ya A level ni kupoteza muda mwingi shuleni.

Hata hivyo kupanga ni kuchagua, na nilijaribu kutoa maoni yangu kuhusu hili, Boxing day njema
 
nikuulize swali TUKUTUKU: ukimwambia rafiki yako kuhusu biashara unayotaka kuanzisha akajibu hivi 'biashara yako itakufa mapema sana,utafilisika na nyumba yako utaiuza na utarudi kijijini, na huko kijijini watakucheka sana...'utajisikiaje? Uzuri wa watu wanaokatisha tamaa wenzao nao pia hawawezi kuthubutu katika kila jambo...nao pia wamekata tamaa...!
 
@Ndebile, nikupongeze kwa jitihada ulizofanya, binafsi nilimaliza mbele yako na nikabahatika kusoma A-levo Ndanda, kutokana na hili, ningependa kutoa ushauri wangu kidogo kuhusu wewe kusoma masomo ya Adv sec, vipi kama ungejiunga na masomo ya chuo ngazi ya cheti, then mwaka unaofuata unajiunga na stashahada. Wakati mwingine (kutokana na umri) kwenda masomo ya A level ni kupoteza muda mwingi shuleni.

Hata hivyo kupanga ni kuchagua, na nilijaribu kutoa maoni yangu kuhusu hili, Boxing day njema

nashukuru kwa ushauri wako lakini hebu fikiria,age 37 niweke diploma miaka mitatu,degree miaka mitano...nafikiria kusoma Vet.medicine....kumbuka ninabadiri profession. Nadhani njia hii ya A-level ni fupi kidogo au unasemaje.

Nawe pia nakutakia boxing day njema.
 
nashukuru kwa ushauri wako lakini hebu fikiria,age 37 niweke diploma miaka mitatu,degree miaka mitano...nafikiria kusoma Vet.medicine....kumbuka ninabadiri profession. Nadhani njia hii ya A-level ni fupi kidogo au unasemaje.

Nawe pia nakutakia boxing day njema.

mkuu,co kwamba nakukatsha tamaa bt kiukweli,umri umesonga sana,ni vzr ungesoma kozi fupi fupi kama uhasibu nk.lakn huko unakokutaka ni parefu na pagumu sana.
 
mkuu,co kwamba nakukatsha tamaa bt kiukweli,umri umesonga sana,ni vzr ungesoma kozi fupi fupi kama uhasibu nk.lakn huko unakokutaka ni parefu na pagumu sana.

Naturally napenda mambo magumu sijuhi kwa nini? Kama ningekuwa nawahi ajira,nadhani hapo ningekubali lakini tayari ninayo ajira ya kudumu kilichobaki ni kutimiza ndoto yangu. Uhasibu bwana ha!kujiajiri ni ngumu....napenda wanyama.
 
Naturally napenda mambo magumu sijuhi kwa nini? Kama ningekuwa nawahi ajira,nadhani hapo ningekubali lakini tayari ninayo ajira ya kudumu kilichobaki ni kutimiza ndoto yangu. Uhasibu bwana ha!kujiajiri ni ngumu....napenda wanyama.

anway,mafanikio mema mkuu!
 
Kwa kifupi ulipata daraja 0,katika kusoma ni vigumu kupata daraja la kwanza na daraja 0,mkuu mimi siwezi kukuficha na wala siwezi kuzunguka mbuyu!uwezo wako ni mdogo,kama unataka kurudi vitani ni lazima ufanye utafiti yakinifu ili kujua udhaifi wako ili uweze kukabiliana na changamoto za sasa!kwa kifupi una kazi nzito na unapaswa ujitahidi sana!

poa m2 wangu, i hope nitaweza, cause nimepania kuweza.
 
Na kwa anayeweza kunifahamisha, ninaweza kurudia hata masomo ma 4, au system ilipo ni kurudia yote?? Pls nisaidieni hapo ndugu zanguni
 
@Wababa, utaratibu wa sasa wa NECTA kuresit, lazima urudie na ufanye masomo saba, na kumbuka pia, mitalaa ya O-level imebadilishwa, kwa hiyo wala usiobabaike na hii kitu, bado QT inasaidia sana, binafsi, nilikuwa nikiwafundisha wafanyakazi wa ngazi tendaji chuo fulani hapa jijini, ni watu wazima sana na wana majukumu ya kifamilia na ndoa, hawa nilikuwa nakutana nao wakishatoka madarasa ya QT na ninakuwa nafanya brushing tu, zaidi ni kuwa na utayari na huu mwaka tunaoenda kuukaribisha unaweza kuwa ni mwaka wako wa baraka na mafanikio
A%20S%20465.gif
 
Back
Top Bottom