Jamaa alikatika mkono mmoja akaona MAISHA yanakua magumu, akapanda ghorofan ajitupe chini kabla hajajitupa akamwona mlemavu hana miköno yote akirukaruka kwa furaha, Akamuuliza "mbona unaruka ruka kwa furaha wakati huna mikono yote? Jamaa akajibu "furaha wapi?? Hapa MKUN****NDU unawasha nashindwa kujikuna"