Katika viongozi mizigo tena mizigo kweli kweli na bongo zao hazifanyikazi ni pamoja na huyo waziri na mkuu wa mkoa wa Dar, unaanzaje kuwakamata makahaba wanao jitafutia fedha za kujikimu, je unakazi nyingine ambayo umeandaa wakafanye? Na je unajua nikazi ipi ambayo wataifanya baada ya kuwakataza...
Afisa wa mikopo kusimamisha ni halali yake na kama mtu hajui hilo basi anamatatizo katika ubongo wake maana hali ya utoaji mikopo ni kwa mjuano tu maana watu wanaambatanisha vyeti vya kufiwa na wazazi wao wote wawili wakiashilia hawana uwezo lakini mikopo hawapewi na watu wenye kazi zao tena...
Huyo mama kwa nini hataji hiyo mamlaka ya juu iliyo mtumia sms ya kufunga mashine na walio mjulisha azifungue kabla ya majaliwa kufika offsini hapo ni wakinanani nao wanatakiwa kuwajibishwa na inamaana anataka jipu litumbuliwa kwake tu au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.