Recent content by Wa Njenga

  1. W

    Mume anahitajika 36+

    Ushauri mzuri, atakayekuja kwa tangazo hili atamsumbua. Tangazo limekaa na vigezo vya kirobot na so kibinadamu
  2. W

    Kama unapenda kucheza Draft huna haja ya kushinda kijiweni tena

    Ubinafsi, Ubinafsi upweke, Ignorance tupu! Vijiwe live vinamanufaa sana unaweza hata ukagonga kikombe cha kahawa! Subirini tu na huo ukatili wenu wa kujifungia na simu zenu!
  3. W

    Hii inatuhusu wanaume pekee!!!

    Itapendeza, nikupe kura ngapi Kampeni Meneja wa Dk. Shika (2020)
  4. W

    Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

    Ugali na sio ugari, Kiswahili cha kuandika kinakushinda utawaweza washenzi wa anga?
  5. W

    Hongera ITV kwa kuitosa habari ya Zuio la Bomoabomoa

    Super Brand haibahatishi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. W

    Ni aibu kumkashifu kiongozi wa nchi yako ukiwa umejificha ugenini

    Kajificha nakajifichua, serikali INA mkono mrefu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. W

    CIA wamekubali North Korea ana uwezo wa kushambulia Marekani kwa nyuklia

    Vita hii si ya ushabiki wa simba na yanga. Ni vita vya marekani na washirika wake na Kim na wapambe wake Sent using Jamii Forums mobile app
  8. W

    Kwanini Serikali na CCM Wanakuwa Wazito Kukanusha Tuhuma Hizi? Nini Kipo Nyuma Ya Pazia?

    Serikali ipo kazini, haina muda wa kuhangaika na upuuzi huu. Alianza JK Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, J M Kikwete sasa JPM. Hongera TZ Sent using Jamii Forums mobile app
  9. W

    Mkurugenzi mkuu wa TBC, Dr Ayoub Ryoba aendeleza matusi kwa wakosoaji wake. Aivaa JamiiForums...

    Mbona uzi haueleweki. Rioba ni think tank namkubali sana. Ukimuendea hovyo hovyo utarudi hoi .Keep it up Dr. Ayub Sent using Jamii Forums mobile app
  10. W

    Moto wazuka Uwanja wa ndege wa Songwe

    Du yaaani tunaomba mfanikiwe kuuzima Sent using Jamii Forums mobile app
  11. W

    Kipi ni bora na busara zaidi kati ya kuasili mtoto na kulea mtoto wa ndugu?

    Inategemea Bahati. Kama wa kukukeep busy na watu yote sawa. Kwanini uhangaike wakati god kaona huna uwezo wa kumiliki watoto Sent using Jamii Forums mobile app
  12. W

    Mubashara: Sahara media warudi hewani

    Tutaungana na Azaria na wengine RFA Sent using Jamii Forums mobile app
  13. W

    Taaluma ya sheria ndiyo ya mwisho kabisa kwa umuhimu hapa duniani

    Kijana uzi huu wa ajabu toka nijiunge JF. Hakuna taaluma ya mwisho duniani. Hivi waijua mihimili ya serikali zote duniani?? kwa taarifa yako judiciary ni muhimiili unaotafsiri sheria zilizotungwa na Bunge ili serikali itawale na kutoa huduma kwa watu wake, jaribu kujifunza kabla ya kuleta uzi...
Back
Top Bottom