Write your reply...Nimezunguka sana kutafuta utajiri nikaona kilimo kinaweza nifanya kuwa tajiri, huwa natamani sana kupanda hata zaidi ya hekari 10 lakini changamoto kubwa inakuwa ni jinsi gani ya kupata miche ya kisasa. Huku kwetu mkoa wa Rukwa ni kama upatikanaji wa miche ni changamoto sana...
Hili suala ni nzito sana yaan huku kwetu imefikia hatua mtendaji wa kijiji kufunga baa na sehemu mbalimbali za starehe ili watu waende vituoni kujiandikisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.