Recent content by volunteer leader

  1. V

    Gharama za mashine za kukoboa mpunga,kubind mifuko,kununua na kuprint vifungashio vya unga na mchele

    Ndugu waungwana naomba msaada kwa wenye ufahamu wa gharama za MASHINE ZA KUKOBOA MPUNGA, KUSAGA MAHINDI,KUFUNGA MIFUKO BAADA YA KUPAKI BIDHAA KAMA MPUNGA AU UNGA,lakini pia naomba kufahamishwa kiwanda kinachojihusisha na uzalishaji wa mifuko ya vifungashio na kuprint chapa unayotaka. Pia naomba...
  2. V

    Biashara ya Viungo (Spices)

    Wanajamvi naomba msaada, Nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza viungo vya chakula kama vya pilau, mboga na chai nk, kiukweli vitu hivyo sina ufahamu navyo sana though najua viko vingi so naomba kujua wapi tavipata kwa bei ya jumla. Asanteni.
  3. V

    Hivi kama siyo siasa za kijinga, huyu mama alikuwa na kosa gani la kuwekwa ndani?

    Umeeleza vizuri ingawa kuna baadhi ya maelezo hujayaweka bayani ambayo yangeweza kusaidia kujibu maelezo yako. 1-tunaomba maelezo aliyoyatoa Afisa wa mipango miji ILALA Juu ya hulalali wa m/mtaa kujihusisha na uuzaji wa ardhi. 2-tueleze RC alisisitiza nini baada ya kuamuru m/kiti achukuliwe...
  4. V

    Masada wa barua ya kusitisha kutoa huduma kwa kampuni

    Habar wana jamvi,tafadhalini naombeni msaada wenu wa namna barua ya kusimamisha kampuni kwa muda katika kuendelea kutoa huduma ili niepeleke TRA,kikubwa .nielezeeni vitu muhimu vinavyotakiwa katika barua/email. Asanten
  5. V

    Nyimbo za Mwinamila

    poleni na pilika pilika za hapa na pale,Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kwa kwenye nyimbo hizo za KINYAMWEZI kutoka kwa muimbaji MWINAMILA kutoka tabora, nawasilisha Msaada it afadhali.
  6. V

    Naomba kujua riba za mikopo ya benki hizi

    kikubwa ndugu Kama uko na muda nakushauri nenda ktk ofisi zao uonane na loan officer Wa bank husika wao watakupatia mchanganuo Wa kutosha km loan processing fee, insurance cost na mengine.
  7. V

    ATCL ina nafasi nzuri kushinda soko la abiria wa ndani

    kweli mkuu nadhani ili kuupata ukweli ni kwenda online booking ili kujiridhisha kuliko kubishana pasi na maana yoyote.
  8. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    maeneo gani pale bagamoyo I mean hotel gani na gharama yaweza kuwa ngapi per night
  9. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    Jambo jema but naamini ikiwa surprise itapendeza Zaidi anyway nashukuru kwa ushauri,je? Vipi waweza kuwa na uzoefu na Zanzibar maana 85% ya moyo kwangu inatamani kwenda huko .
  10. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    Asante kwa ulicho nishauri maana najua 'MWISHO WA BUSARA MWANZO WA UJINGA'
  11. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    Budget ni Kama 6k for 3 nights
  12. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    Asante kwa ushauri maana najua umetafakari nakuamini utanifaa
  13. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    U pare, mhuuuu upareni asnte kwa ushauri.
  14. V

    Natafuta sehemu nzuri kwa ajili ya Honeymoon

    Poleni na majukumu ndugu zangu Samahani naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie kujua sehemu nzuri yenye gharama nafuu kwa ajili ya honeymoon. Kwa upande wangu nilikuwa napendelea sana sehemu zifuatazo:- Zanzibar, Historical sites na baadhi ya National Parks kama Saadan na Saanane. Please kwa...
Back
Top Bottom