Mkuu awamu hii ni ya ajabu sana, eti hata wabunge wa ccm nao wanamamlaka ya kutumbua na kuwashusha vyeo watumishi wa umahivi mahakama na viongozi nani anatoa amri ya mtu kuwekwa ndani..? au katiba imewapa viongozi mamlaka hayo..?
kumfurahisha mkuu kila siku lazima uwe na full mizuka ,mihemko,kujipendekeze ikibidi hata kuonea waliochini ili tu mkuu akusikieNimefuatilia maelezo ya mama na mwenyekiti Wa mtaa aliyewekwa ndani na mkuu Wa mkoa Wa Dar es salaam nimebaini vitu kadhaa ambavyo vinasikitisha hasa katika mstikabari Wa uongozi na viongozi Wa serikali
1. maelezo yaliyokuwa yanatolewa na mama yanajitosheleza hivyo mpaka mkuu Wa mkoa anafikia hatua ya kutoa amri kwa mama Huyo awekwenp ndani sikuona sababu ya kumtia hatiani.
2. mama amekubali kuwa kiwanja kimeuzwa lakini kwa makubaliano na wananchi pamoja na wajumbe na ametaja na tarehe ambapo kulifanyika vikao vilivyobariki uuzwaji Wa ardhi hiyo.
3 mama anajaribu kumuelewesha mkuu Wa mkoa kwa umaridadi kabisa kuwa eneo limeuzwa na pesa IPO, na diwani analijuwa hill na diwani huyo alishiriki katika vikao vyote.
4. Baadhi ya wajumbe ambao wanaonekana kuwa wanachama Wa chama cha mapinduzi ( mmoja kavaa tisheti ya chagua magufuli) wanajaribu kubisha kwa hoja za kuungaunga eti wao huwa hawashirikishwi eti wanaoshiriki ni wajumbe watatu. hoja dhaifu.
polisi wanaamuriwa wamkamate. mpaka hapo sikuona sababu ya kumkamata maana ardhi imeuzwa kwa makubariano ya wananchi na uongozi husika Wa mtaa na mama ana ushahidi wote.
Hizi ni siasa za kipuuzi, umefanya mauzo mbele ya watu ili kupata umaarufu lakini Nina uhakika huyo mama hata mngempeleka mahakama ya Lumumba atawagaragaza. lakini najuwa lengo lako ulitaka uonekane unatumbua ila ukweli unaujuwa huyu mama kwa maelezo pamoja na maelezo ya kuunga unga ya watu wanaomtuhumu, hana hatia
nawasilisha.
Wamama watatu wajane walovunjiwa nyumba zao kimakosa bila makonda jana wasingepata haki yao, shida yenu mnaangalia upande mmoja tu, wananchi tunateseka na viongozi wa mitaa, waache washikishwe adabuMihemuko na kutaka sifa za kijinga ndo zinawaandamana viongozi HAWA
Hayo maswali makonda kayajibu jana alipokua mburahati barafu, hamjui shida za wananchi shida mnazozijua za kwenye social network tu ndo mana kazi yenu kuropoka tuKuna thread humu ilikuwa inauliza ANACHOKIFANYA MAKONDA NI SAHIHI?"
Hatukatai makonda kufanya ziara kujua kero za wananchi wake...
Tunachukia yanayotokea kule kwenye mikutano! Tunachukia hizi siasa za chuki!
Makonda anafanya vitu with popularity image...media kibao! Drones za nini sasa? Majukwaaa makubwa kama kuna fiesta....
Hiyo hela yote ya kuleta media na majukwaa kila mahali anatoa wapi na watu wanatabu dsm?
Mara apigie Magufuli simu amuweke loud speaker! Huu ni uhuni tuu...
Mimi naangalia haya maigizo ! Kila lenye mwanzo lina mwisho...
Kila la kheri makonda na wana Dsm
Mkuu hatukatai na hatupingi harakati hizo lkn ni lazma kuwe na uchunguzi zaid baada ya hapo maana inaweza ikawa ni visasi na majungu hali ambayo italeta uhasama kati ya viongoz na wananchiWamama watatu wajane walovunjiwa nyumba zao kimakosa bila makonda jana wasingepata haki yao, shida yenu mnaangalia upande mmoja tu, wananchi tunateseka na viongozi wa mitaa, waache washikishwe adabu
Mkuu mimi naropoka tuu ! Nimeropoka kweli mkuu! Ila mwambie makonda aache siasa za chuki ! Aache siasa za kutafuta popularity....Hayo maswali makonda kayajibu jana alipokua mburahati barafu, hamjui shida za wananchi shida mnazozijua za kwenye social network tu ndo mana kazi yenu kuropoka tu
Nimefuatilia maelezo ya mama na mwenyekiti Wa mtaa aliyewekwa ndani na mkuu Wa mkoa Wa Dar es salaam nimebaini vitu kadhaa ambavyo vinasikitisha hasa katika mstikabari Wa uongozi na viongozi Wa serikali
1. maelezo yaliyokuwa yanatolewa na mama yanajitosheleza hivyo mpaka mkuu Wa mkoa anafikia hatua ya kutoa amri kwa mama Huyo awekwenp ndani sikuona sababu ya kumtia hatiani.
2. mama amekubali kuwa kiwanja kimeuzwa lakini kwa makubaliano na wananchi pamoja na wajumbe na ametaja na tarehe ambapo kulifanyika vikao vilivyobariki uuzwaji Wa ardhi hiyo.
3 mama anajaribu kumuelewesha mkuu Wa mkoa kwa umaridadi kabisa kuwa eneo limeuzwa na pesa IPO, na diwani analijuwa hill na diwani huyo alishiriki katika vikao vyote.
4. Baadhi ya wajumbe ambao wanaonekana kuwa wanachama Wa chama cha mapinduzi ( mmoja kavaa tisheti ya chagua magufuli) wanajaribu kubisha kwa hoja za kuungaunga eti wao huwa hawashirikishwi eti wanaoshiriki ni wajumbe watatu. hoja dhaifu.
polisi wanaamuriwa wamkamate. mpaka hapo sikuona sababu ya kumkamata maana ardhi imeuzwa kwa makubariano ya wananchi na uongozi husika Wa mtaa na mama ana ushahidi wote.
Hizi ni siasa za kipuuzi, umefanya mauzo mbele ya watu ili kupata umaarufu lakini Nina uhakika huyo mama hata mngempeleka mahakama ya Lumumba atawagaragaza. lakini najuwa lengo lako ulitaka uonekane unatumbua ila ukweli unaujuwa huyu mama kwa maelezo pamoja na maelezo ya kuunga unga ya watu wanaomtuhumu, hana hatia
nawasilisha.
Naona umetulia unalea wajukuu uku ukijilia UgoloNimejaa tele.
Naona umetulia unalea wajukuu uku ukijilia Ugolo