Recent content by ViToGu

  1. ViToGu

    Mwanya in english unaitwaje?

    Mwanya ni diastema kwa kimombo
  2. ViToGu

    Nchi yangu jamani: Barabarani pikipiki inakwaruzana kidogo na kijigari kidogo tu Mlandizi foleni mpaka Kibaha maili moja. Bado tuna safari ndefu sana

    Jamani kwa kweli Serikali isipofanya kitu barabara hii ya Dar - Moro, uchumi utadidimia. Yaani hizi foleni za siku hizi hazifai kabisa yaani khaaaa. Barabara imebaki inaonekana kama kichochoro tu. Ajali ndogo tu foleni mnakaa masaa 5
  3. ViToGu

    Sitaki Ualimu, nimechoka naombeni ushauri

    Kwa kweli hata mimi nilikimbia kusoma kingine, si haba. Sema mshahara haujawahi tosha hata siku moja
  4. ViToGu

    An open letter to President Yoweri Kaguta Museveni

    Uganda is not A United Republic
  5. ViToGu

    Hotuba na Ziara za Hayati Magufuli zilikuwa zinafuatilia sana kuliko zile za Mrithi wake

    Weka wazi kwamba ulikuwa mwathirika wa utawala wa JPM aidha fisadi, muuza madawa, mkwapuaji n.k
  6. ViToGu

    Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

    Kumbe kuolewa dili eh
  7. ViToGu

    Agizo la Waziri kuruhusu Mabasi kutoingia stendi ni kuwanyima Halmashauri vyanzo vya mapato

    Tamko la Waziri wa Uchukuzi Safi sana. Mimi ni miongoni mwa watu wanaochukia basi kulazimika kuingia stendi hata kama hakuna abiria anayeshukia hapo
  8. ViToGu

    Naweza kubadili jina nililotumia miaka mingi?

    Dah yaani changamoto yako kama yangu asee
  9. ViToGu

    Majina yangu yana tofauti, je sitapata shida kwenye usaili serikalini?

    Sidhani kama hiyo ni shida kabisa. Inajulikana utaratibu wa majina matatu umeanza miaka ya juzi tu. Wengi wetu kuanzia 2000 kurudi nyuma vyeti vya shule utaratibu ulikuwa majina 2
  10. ViToGu

    Kubadilisha Jina NIDA baada ya Kubatizwa

    Wadau hivi inawezekana kubadilisha jina ÑIDA na kupewa kitambulisho kipya kutumia jina la Ubatizo ?. Mfano nilikuwa naitwa KINYESI MKOJO MAVI, sasa nataka lisomeke JEKA MKOJO MAVI. Nilishakamilisha deed poll na kuitangaza gazeti la Serikali. Taratibu ni zipi wadau na naingiaje NIDA? Asanteni
  11. ViToGu

    Shule Binafsi zinazalisha Waongeaji wa Kiingereza badala ya Wachapa kazi

    Shule English medium wamezidi. Watoto wanatoka huko wakidhani maisha ni mepesi tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. ViToGu

    Shule Binafsi zinazalisha Waongeaji wa Kiingereza badala ya Wachapa kazi

    Kwa uchunguzi wangu mdogo, vijana wengi waliosoma English medium schools ni wavivu na hawawezi kufanya kazi ipasavyo ukilinganisha na waliosoma Shule za serikali.
Back
Top Bottom