Tondelo Member Apr 29, 2011 25 28 Jul 28, 2023 #1 Jamani kwa kweli Serikali isipofanya kitu barabara hii ya Dar - Moro, uchumi utadidimia. Yaani hizi foleni za siku hizi hazifai kabisa yaani khaaaa. Barabara imebaki inaonekana kama kichochoro tu. Ajali ndogo tu foleni mnakaa masaa 5
Jamani kwa kweli Serikali isipofanya kitu barabara hii ya Dar - Moro, uchumi utadidimia. Yaani hizi foleni za siku hizi hazifai kabisa yaani khaaaa. Barabara imebaki inaonekana kama kichochoro tu. Ajali ndogo tu foleni mnakaa masaa 5
N Nangu Nyau JF-Expert Member Jul 1, 2022 3,010 8,955 Jul 28, 2023 #2 tutabinafsisha nayo kwa Dipii worid kuongeza ufanisi.