mi nilisoma vyuo vya kata lakini leo ni boss na ninawaongoza waliosoma vyuo visivyo vya kata alafu bro wangu nae alisoma vya kata lakini ana kampuny na amewaajiri hao unaowaita hawajasoma vyuo vya kata .so hacha vikra za kizee
mwambie awe anachemsha nyanya chungu na ale kwa wingi sana mbona ni few days kaishakua flesh tu sio vichips vyake hivyo anavyokula. swala la mafuta utatumia hadi lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.