Jana nimezungumza naye jioni akanijulisha kuwa ni juzi tu alivamiwa usiku kwake majira ya saa saba hivi na kukamatwa na wanaojihusisha na ukamataji wa wahamiaji haramu wakati haijakamilika wiki moja tangu akamatwe tena na kurundikwa ktk godown
Harakati na vuguvugu la kamatakamata ya wahamiaji haramu sasa linaanza kuchukua sura ya aina yake baada ya kuwa ni zoezi la kumvamia mtu usiku kwake na kumkamata wakati alishawahi kukamatwa tena na kuachiwa.
Taarifa zilizopo ni kwamba mwenyekiti huyo amechoshwa na usumbufu huo na ameomba...
nilikuwa eneo la tukio naomba kurekebisha siyo Masumbwe msalabani ni Masumbwe eneo la Shireko(Kagri)njia ya kuelekea kiwanda cha kupembua pamba(Ginnery)karibu na kituo kidogo cha Mzambarauni(Masumbwe Mzambarauni)..picha zipo ktk acc yangu ya facebook(fungua Victor Wilbard) au www.habarimpya .com
kwa mfumo wa upashanaji habari uliopo nchini mi nadhani tayari wangekuwa washadakwa Tanzania taarifa zinasambaa mno na karibu kila Mtanzania ni mpelezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.