Magari ya kichina ni pasua kichwa nakwambia haya magari ya china yana stak barabarani baada ya muda mfupi tu hayaduku haya labad kama matymiz yako ni nyumbani na kazini lkn kikaz aisee ni heri ununue toyota used kuliko hayo ya 3yd yana goma goma sana mchina hana kitu kinachodumu kamwe.
Kwenye haya matukio kuna vitu vinafanana sana naunganisha dots la kwanza kuna huyu pastel anachekesha alisafiri huku nyuma mtubwa karibu yake akafanya jambo la ajabu kisa eti ali mesage mama pastel maisha yakaenda la pili huyu Godi nani huyu alikuwa na mtoto akaanza kuvaa mavazi yake kuonyesha...
Ndio mana watu wengi wanakataa kurudi nyumbani baada ya kuishi ulaya kwa.muda mrefu inawezekana ushirikina uliingia hapa kummaliza kuna jamaa mwingine maeneo ya Tanga huko ni kama huyu alikuwa rubani marekani kosa lake alirudi home na ndoto ya kubadili maisha ya wanakijiji we acha tu akaenda...
Hao mitume na manabii ni wachawi waliojificha kanisani yani waganga wa kienyeji kabisa na ndio mana kazi yao kuuza maji vitambaa vya upako si wakristo kabisa ni mbwa mwitu waliojifanya kondoo
Uchumi wa souz unashuka sana kupitia bidhaa za kichina haya magari ukiliweka barabarani mwezi mmoja tu utashangaa yani ni box la plastic umbi kubwa bei rahis hayadumu kabisa viwanda vya polo na nissan vinapata hasara lakini ndio magari mazuri na yana dumu muda mrefu uchuni wa souz unakamatwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.