SImple kapime dna ya mtoto kama ni wako basi mchukue huyo mwanamke mfanye mkewako alee mtoto maisha yaende ukimuweka ndani atakuheshimu sana na hatakuwa na uwezo wa kukutoroka tena kwa maana ya mapito aliyopitia.
Ni kweli na tumeyataka haya ukiangalia mambo yanavyoenda sasa wasaliti wengi wa magufuli wanakiona cha mtema kuni yani malipo ni hapa hapa ti lisu alishirikiana na wana cm kumsaliti mzee Magu leo hii kimemramba mwenyewe na wengine wengi Tu ni miaka ya kishetani mpaka iishe bas tumekoma sana.
Vitu vya israel vinauzwa dunia ya kwanza lkn kutokana na ubora wa haki ya juu na hakuna ambaye hajatumiq kitu cha israel sema wao huuza teknology mfano play
HIyo simu uliyoyumia kutuma jua simcard technology ni ya israel hizo camera za simu unapiga ni israel hyo processor ni israel na ujue...
Usimsingizie magufuli kabisa hata hujui kwa nn alichukua fedha za wabadilisha fedha walikuwa wanatakatisha fedha ni kama hosptala nje vibanda vya kuuza dawa kibao halaf dokta anakuagiza mahali pa kununua dawa zile dawa wanaiba za serikali halaf wanauza ujinga mtupu,wafanyakazi wa bot ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.