Recent content by vipanda thamani

  1. V

    JamiiForums Tanzania Je Emmanuel Nchimbi atatekwa na kupotezwa kama Polepole?

    Kuna watu wana roho mbaya sijawah ona
  2. V

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwimbaji nguli wa muziki wa Country, Dolly Parton amefariki dunia

    Kaenda kwa rafiki yake
  3. V

    JamiiForums Tanzania Makosa ya kiprotokali katika 'barua ya Nchimbi'

    Kuna wakt inabidi uandikiwe haraka haraka mambo yaendeee
  4. V

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kuna mtoto wa rais anasafishiwa njia hapa what goes around comes around
  5. V

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    Hakuna unalolijua kwenye Biblia zaid ya mawazo yako dhaifu..uliza swali ujibiwe ndio kujifunza hzo porojo zako hazina maana kabisa
  6. V

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

    SImple kapime dna ya mtoto kama ni wako basi mchukue huyo mwanamke mfanye mkewako alee mtoto maisha yaende ukimuweka ndani atakuheshimu sana na hatakuwa na uwezo wa kukutoroka tena kwa maana ya mapito aliyopitia.
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa Abdul akawa na sauti kuliko makamo wa rais na waziri mkuu

    Ni kweli na tumeyataka haya ukiangalia mambo yanavyoenda sasa wasaliti wengi wa magufuli wanakiona cha mtema kuni yani malipo ni hapa hapa ti lisu alishirikiana na wana cm kumsaliti mzee Magu leo hii kimemramba mwenyewe na wengine wengi Tu ni miaka ya kishetani mpaka iishe bas tumekoma sana.
  8. V

    JamiiForums Tanzania Zawadi kwa Diamond na Zuchu ni utakatishaji fedha. Serikali ipo kimya

    Hao unaofikiri ndio wana sauti ya kukemea cha ajabu ndio wamewapa kuzizungusha hapo sasa ndio utafuraji mwenyewe.
  9. V

    JamiiForums Tanzania Unatafuta wasaidizi wa Kazi, jitahidi upate mrundi at your own risk

    RWanda congo na burundi hizi nchi uchawi na kutoana roho no vitu vyepesi sana kwao yani haviwaumi kabisa hatar sana hawa watu.
  10. V

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Hako kababu na kasemaji hao ni Yanga damu simba itafungwa milele hado hatoke hao
  11. V

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    NILISEMAGA MIAKA KADHAA NITARUDI SIMBA KILE KIZEE NA KISEMAJINM WAKIONDOKA SIMBA HAO NDIO WANAOFUNGISHA SIMBA.
  12. V

    JamiiForums Tanzania Butiku: Sijui Polepole alipo, ingawa aliniaga

    Kauli yake tu anaonyesha anajua kabisa
  13. V

    JamiiForums Tanzania Tangu nizaliwe hadi sasa, sijawahi kushika wala kuona bidhaa au kifaa chochote toka ISRAEL

    Vitu vya israel vinauzwa dunia ya kwanza lkn kutokana na ubora wa haki ya juu na hakuna ambaye hajatumiq kitu cha israel sema wao huuza teknology mfano play HIyo simu uliyoyumia kutuma jua simcard technology ni ya israel hizo camera za simu unapiga ni israel hyo processor ni israel na ujue...
  14. V

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Usimsingizie magufuli kabisa hata hujui kwa nn alichukua fedha za wabadilisha fedha walikuwa wanatakatisha fedha ni kama hosptala nje vibanda vya kuuza dawa kibao halaf dokta anakuagiza mahali pa kununua dawa zile dawa wanaiba za serikali halaf wanauza ujinga mtupu,wafanyakazi wa bot ndio...
Back
Top Bottom