Recent content by vipanda thamani

  1. V

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Hako kababu na kasemaji hao ni Yanga damu simba itafungwa milele hado hatoke hao
  2. V

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    NILISEMAGA MIAKA KADHAA NITARUDI SIMBA KILE KIZEE NA KISEMAJINM WAKIONDOKA SIMBA HAO NDIO WANAOFUNGISHA SIMBA.
  3. V

    JamiiForums Tanzania Butiku: Sijui Polepole alipo, ingawa aliniaga

    Kauli yake tu anaonyesha anajua kabisa
  4. V

    JamiiForums Tanzania Tangu nizaliwe hadi sasa, sijawahi kushika wala kuona bidhaa au kifaa chochote toka ISRAEL

    Vitu vya israel vinauzwa dunia ya kwanza lkn kutokana na ubora wa haki ya juu na hakuna ambaye hajatumiq kitu cha israel sema wao huuza teknology mfano play HIyo simu uliyoyumia kutuma jua simcard technology ni ya israel hizo camera za simu unapiga ni israel hyo processor ni israel na ujue...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Usimsingizie magufuli kabisa hata hujui kwa nn alichukua fedha za wabadilisha fedha walikuwa wanatakatisha fedha ni kama hosptala nje vibanda vya kuuza dawa kibao halaf dokta anakuagiza mahali pa kununua dawa zile dawa wanaiba za serikali halaf wanauza ujinga mtupu,wafanyakazi wa bot ndio...
  6. V

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Demu wa Kiarabu Toronto. Amenifundisha jambo la ajabu sana

    Waarabu wanavaa vzur tu kwa kujistiri ila tabia hatari sana wanasera mbaya kutaka kuoa bikra, mabinti wengi ni bikra kabisa unaoa ila sasa nyuma huko anajiharishia tu kesha haribika heri akupe nyuma ili aolewe bikra sijui ujinga ganinhuo.
  7. V

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kuna aliyetekwa hajapatikana
  8. V

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Anza na yeye kwanza ana ndoa imetulia kama hana achana nae karopoka tu
  9. V

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    Tstizo ni wabunge hawasemi lolote kuhusu harabara
  10. V

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyojitoa kwenye foleni ya kung'oa jino

    Umepotea rafiki
  11. V

    JamiiForums Tanzania Magari ya kutoka China yashika soko SA

    Magari ya kichina ni pasua kichwa nakwambia haya magari ya china yana stak barabarani baada ya muda mfupi tu hayaduku haya labad kama matymiz yako ni nyumbani na kazini lkn kikaz aisee ni heri ununue toyota used kuliko hayo ya 3yd yana goma goma sana mchina hana kitu kinachodumu kamwe.
  12. V

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kumtolea mtu figo

    Souz wabafanya sana kwa marehem wa ajali kutoa figo na viungo vingine
Back
Top Bottom