Recent content by vipanda thamani

  1. V

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    Tstizo ni wabunge hawasemi lolote kuhusu harabara
  2. V

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyojitoa kwenye foleni ya kung'oa jino

    Umepotea rafiki
  3. V

    JamiiForums Tanzania Magari ya kutoka China yashika soko SA

    Magari ya kichina ni pasua kichwa nakwambia haya magari ya china yana stak barabarani baada ya muda mfupi tu hayaduku haya labad kama matymiz yako ni nyumbani na kazini lkn kikaz aisee ni heri ununue toyota used kuliko hayo ya 3yd yana goma goma sana mchina hana kitu kinachodumu kamwe.
  4. V

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kumtolea mtu figo

    Souz wabafanya sana kwa marehem wa ajali kutoa figo na viungo vingine
  5. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kuna kitu nilisema kama kuna mtu anaweza kwenda kwenye ile saloon alitumaga link naamini akifika pale atapata jibu fulani hv.
  6. V

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Mmeshuhudia siku tatu zile. Hakukuwa na harusi, kitchen party wala mikusanyiko kwenye mabaa. Zilikuwa siku tatu nzito

    Tupo kwenye kipindi chavhamnifanyi lolote sasa basi tuombe Mungu atunusuru..ila masihi alikuja tukamkataa wenyewe.
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu aliwapeleka wana wa Israeli katika nchi ya Kanaani ambayo ililaaniwa?

    Tufundishe kama hivi asante mtumishi wa Yesu
  8. V

    JamiiForums Tanzania Kwa masharti na stress hizi utazopitia, Utajiri wa ndagu ni heri kuwa masikini tu

    Kuna tukio moja mdada alienda toa mimba kwa mganga yani alisimama tunkwenye kioo mimba ikatoka aisee niliogopa sana akaenda pima hosptal hana mimba.
  9. V

    JamiiForums Tanzania Polisi: Mwanamtandao Ashlee Jenae alifia Hospitali baada ya kukutwa amejinyonga

    Kwenye haya matukio kuna vitu vinafanana sana naunganisha dots la kwanza kuna huyu pastel anachekesha alisafiri huku nyuma mtubwa karibu yake akafanya jambo la ajabu kisa eti ali mesage mama pastel maisha yakaenda la pili huyu Godi nani huyu alikuwa na mtoto akaanza kuvaa mavazi yake kuonyesha...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    Ndio mana watu wengi wanakataa kurudi nyumbani baada ya kuishi ulaya kwa.muda mrefu inawezekana ushirikina uliingia hapa kummaliza kuna jamaa mwingine maeneo ya Tanga huko ni kama huyu alikuwa rubani marekani kosa lake alirudi home na ndoto ya kubadili maisha ya wanakijiji we acha tu akaenda...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

    Hao mitume na manabii ni wachawi waliojificha kanisani yani waganga wa kienyeji kabisa na ndio mana kazi yao kuuza maji vitambaa vya upako si wakristo kabisa ni mbwa mwitu waliojifanya kondoo
  12. V

    JamiiForums Tanzania Magari ya kutoka China yashika soko SA

    Uchumi wa souz unashuka sana kupitia bidhaa za kichina haya magari ukiliweka barabarani mwezi mmoja tu utashangaa yani ni box la plastic umbi kubwa bei rahis hayadumu kabisa viwanda vya polo na nissan vinapata hasara lakini ndio magari mazuri na yana dumu muda mrefu uchuni wa souz unakamatwa na...
  13. V

    JamiiForums Tanzania TANZIA Kardinali Pengo afariki Dunia akiwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

    If you have been close with mzee Magu is better to go outside country for treatment.
Back
Top Bottom