Vitu vya israel vinauzwa dunia ya kwanza lkn kutokana na ubora wa haki ya juu na hakuna ambaye hajatumiq kitu cha israel sema wao huuza teknology mfano play
HIyo simu uliyoyumia kutuma jua simcard technology ni ya israel hizo camera za simu unapiga ni israel hyo processor ni israel na ujue...
Usimsingizie magufuli kabisa hata hujui kwa nn alichukua fedha za wabadilisha fedha walikuwa wanatakatisha fedha ni kama hosptala nje vibanda vya kuuza dawa kibao halaf dokta anakuagiza mahali pa kununua dawa zile dawa wanaiba za serikali halaf wanauza ujinga mtupu,wafanyakazi wa bot ndio...
Waarabu wanavaa vzur tu kwa kujistiri ila tabia hatari sana wanasera mbaya kutaka kuoa bikra, mabinti wengi ni bikra kabisa unaoa ila sasa nyuma huko anajiharishia tu kesha haribika heri akupe nyuma ili aolewe bikra sijui ujinga ganinhuo.
Magari ya kichina ni pasua kichwa nakwambia haya magari ya china yana stak barabarani baada ya muda mfupi tu hayaduku haya labad kama matymiz yako ni nyumbani na kazini lkn kikaz aisee ni heri ununue toyota used kuliko hayo ya 3yd yana goma goma sana mchina hana kitu kinachodumu kamwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.