The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 6,179
- 14,038
Muda wa rais kukaa madarakani uwe term 3, na kila term iwe na miaka mitano, so maximum time iwe ni miaka 15.
Na sio term 2 kama sasa.
Hii itaepusha watu kuanza kujiandaa kumrithi rais mapema sana.
Pia watu watakuwa serious kuchagua marais wazuri, kwa sababu marais wanaweza kukaa madarakani kwa miaka 15.
Inatakiwa mbunge mmoja atoe hii hoja bungeni.
Hatutaki