kaz ha site na kaz zs ofcn tofaut kabisaa.9500 per day co mbaya kwakwel usafir upo .apo akila chakula cha elfu3 mbona akiba inabak kulko kukaa tu jobless
hali ilivyo sasa.Nakushauri hairisha mwaka wa masomo afu nenda huko ulikoitwa.elimu haina mwisho lkn chance kama io uliyopata n nadra sana kwa sasa.Kumbuka masomo hairisha rasmi usiache kihorela horela
Lkn pia tunakumbushwa kipind hik ni cha kukumbuka mateso ya yesu na kuyaish kiiman. Sidhan kama inapendeza kushirik tendo ukiwa umefunga chakula au matendo. Hik n kipind cha kujinyima ivyo hata kushirik yatupasa kushirik ukiwa umefungua
Habarini
Umri miaka26
Jinsia ke
Taaluma : 1.Stashahada ya uzamili katika elimu.
2. Shahada ya awali katika kiswahili
Yuko teyari kufanya kazi mahala popote. Ngazi yeyote ya elimu iwe msingi, Sekondari na vyuoni
Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.