Aurthur
JF-Expert Member
- Feb 1, 2016
- 2,743
- 2,107
Ha ha habila shaka wewe ni dalali..
Ila sio mbaya kufa kufaana
Ha ha habila shaka wewe ni dalali..
Ila sio mbaya kufa kufaana
Developer, Tunaomba feedbacks. Au kama kuna alie-apply akapigiwa simu au kurudishiwa email aje atoe ushuhuda hapa.
Kwa uzoefu wa hapa, siku hizi watu wanaweka tu matangazo mradi wahanga wa ajira watume CV na kuanza kuwatapeli.
Hata watoa matangazo ya ukweli, mkishamaliza usaili au kutimiza idadi ya applicants, ni uungwana kurudi hapa na kuwatangazia wengine ili kuondoa usumbufu kwa waliochelewa.
Je kwa asiye na cheti cha computer lakini anajua kutumia anaweza kupata nafasi?Hallow habarini wakuu,
Tuna nafasi 50 za kazi ya muda mfupi kwa vijana. Kazi hii ni ya kupiga chapa (kuprint) documents. Itafanyika kwa siku 20.
Tunahitaji vijana angalau (at least) waliomaliza kidato cha nne na wenye cheti cha kompyuta (certificate of computer applications).
Kama una cheti, stashahada au shahada na hauko engaged na kazi yoyote kwa sasa pia tunakukaribisha.
Malipo ni sh 9500/= kwa siku bila benefit nyingine yoyote.
Sehemu ya kazi ni maili moja kibaha.
Usafiri wa kutoka ubungo mpaka maili moja utatolewa kwa kila siku ya kazi (Kwenda na kurudi).
Tuma maombi tu kama unaishi dar au kibaha.
Andika barua ya maombi pamoja na CV kwa lugha uipendayo, kiswahili au kiingereza.
Kutuma maombi: printingjobvijana50@gmail.com
Mwisho wa kupokea maombi ni 19/06/2017.
Tuma mapema kwa sababu maombi yatafanyiwa kazi kadri yanavyokuja.
Karibuni.
Mkuu,tuwasiliane nami nahitaji kujishughulishaMi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
Pinguza njaa mkuu.. Yani bosi katangaza mshahara ww unataka umlipe kwa mshahara anaotaka kukulipa wwmkuu naomba hiyo ajira tafadhali, Mimi nipo tayari unipe 12000/= per day, iyo 3000/= iliyobaki utakuwa unachukua wewe boss wangu
Unawezafanya nn kwenye compyuter.. Au kucheza gemu?BBromimi nimemaliza form 4 na Nina division 1 ya mwisho, sins cheti cha computa but kwa baadhi ya mambo ya PC nipo vizuri, kama hautojari no yangu ni 0-655-777-272 na email ni slyhckr@gmail.com ,au kapesly1@yahoo.com au kapesly@autlook.com .....
Nafanya kazi yoyote ile ambayo ni legal, naishi now Mbezi-malamba mawili
Hili nalo nenoMi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
DuuuuuNaweza kupata kazi ya supervisor
kaz ha site na kaz zs ofcn tofaut kabisaa.9500 per day co mbaya kwakwel usafir upo .apo akila chakula cha elfu3 mbona akiba inabak kulko kukaa tu joblessHao vijana uko site wanafanya inshu gani mkuu
DuuuuuUnawezafanya nn kwenye compyuter.. Au kucheza gemu?
Ni PM details zako kama ulituma emailkaz ha site na kaz zs ofcn tofaut kabisaa.9500 per day co mbaya kwakwel usafir upo .apo akila chakula cha elfu3 mbona akiba inabak kulko kukaa tu jobless
Inshu gani hiyo mkuu tupegawane utajiriMi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
Mkuu nimekutuma email ningependa kuwepo kwenye hilo zoezi.Ni PM details zako kama ulituma email
Nyie limeni tu.Kwakwel fursa nying zipogo dar tu kwann lakin mikoan hakuna maofsi nini duuhj