Dreva kiingereza chako kina matege balaa. Nashauri tumia kiswahili vinginevyo kama ni interview ya kiingereza hadi hapo umekwama. Unaulizwa elimu yako huenda ukapata msaada unakua na mipasho kama muimba taarabu. Kua makini mkuu unatafta misha sio show off.