Recent content by Vasco wa degamer

  1. Vasco wa degamer

    Mwanafunzi ukitaka kufaulu mitihani fuata mbinu hizi

    Hayo yooote sikuyazingatia ila nilifaulu. Kufaulu siyo kujiumiza hivyo kiasi bwana.
  2. Vasco wa degamer

    Yaliyojiri Dodoma: Maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 2017

    Ni wana siasa wangapi wamewahi kukana kauli zao? Umekubali alichosema?
  3. Vasco wa degamer

    JB: Simfahamu Ney wa Mitego wala sisikilizagi Bongo Fleva

    Hujaeleweka hata kidogo "a"na ....akili, "a"sikilizi bongo fleva?
  4. Vasco wa degamer

    Jinsi mabenki yanavyonyonya na kuleta umaskini

    Nadhani ulichoandika ni swali na jibu lake ni HAPANA. kama siyo swali basi ulichokiandika siyo sahihi
  5. Vasco wa degamer

    Simulizi ya kweli: Mpaka kieleweke

    Sijaona ulichoandika
  6. Vasco wa degamer

    Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu hapendi kuambiwa ukweli? Maana umesema hatamvumilia.
  7. Vasco wa degamer

    Dodoma: RC Makonda aongea na Wanahabari akiwaarifu ziara ya Waziri Mkuu wa Ethiopia Dar Es Salaam

    Sijamuelewa. Nadhani taarifa hiyo imekosewa maana haimhusu kabisa. Yeye ni nani nchini atupe taarifa ya ugeni wa nchi na tathimini ya mikopo ya nchi nzima?
  8. Vasco wa degamer

    ACACIA: Tumekula hasara bilioni 40 kwa wiki mbili baada ya kuzuia kupeleka mchanga nje. Tutawafidia?

    Serikali yetu haijawahi kushinda kesi yoyote toka uhuru. Pia hakuna mwanasheria wa serikali mwenye uwezo wa kuuliza swali kama hilo forever.
  9. Vasco wa degamer

    ACACIA: Tumekula hasara bilioni 40 kwa wiki mbili baada ya kuzuia kupeleka mchanga nje. Tutawafidia?

    Serikali yetu haijawahi kushinda kesi yoyote toka uhuru. Pia hakuna mwanasheria wa serikali mwenye uwezo wa kuuliza swali kama hilo forever.
  10. Vasco wa degamer

    ACACIA: Tumekula hasara bilioni 40 kwa wiki mbili baada ya kuzuia kupeleka mchanga nje. Tutawafidia?

    Serikali yetu haijawahi kushinda kesi yoyote toka uhuru. Pia hakuna mwanasheria wa serikali mwenye uwezo wa kuuliza swali kama hilo forever.
  11. Vasco wa degamer

    Symbion yaishtaki TANESCO Mahakama ya kimataifa. Yaitaka iilipe $561 milioni kwa kukiuka mkataba

    Ulitakiwa uanze kujiuliza kwa nini waziri aliyeusaini bado anapeta.usimlaumu jamaa peke yake
Back
Top Bottom