Mkuu nina tofali za inch 5, je ninaweza tumia kujengea msingi wa nyumba ya vyumba vinne? Au ni lazima nikomae nitumie tofali za nchi 6, maana tatizo bajeti yangu nayo haipo sawa...eneo ni flat na lina nature ya kichanga
Nenda kariakoo Fire karibu na KFC na hotel ya ABC pale.kuna kampuni ya Linkall na JXB.. Pia opposite kuna duka kubwa la Sinoray nao wanauza nje hapo..ukifika mitaa hiyo ukiulizia utaelekezwa
Bei inaanzia 1.4M to 2m kutokana na sifa alizotaja mdau hapo juu kwenye betri, speed na km
Kwenye ndege kuna tank la kuhifadhia uchafu(kinyesi) ndege ikitua huwa wanaenda kuumwaga.
Treni mara nyingi inapita porini unakunya kinadondoka chini. Na hairuhusiwi kutumia choo cha treni kama imesimama, kwenye meli sifahamu utaratibu ukoje
Hivi kama eneo ni kichanga kuna ulazima wa chini kuanza na zege? Siwezi anza kwa kupanga tofali?
Na pia kwenye kufunga mkanda wa msingi wenye kozi 7 ambazo tatu ardhini 4 zimetokeza nje. Kuna umuhimu gani wa kuzungushia na nondo nikiamua piga mkanda wa bila nondo..kuna hatari gani naitengeneza?
Piga vanish vizuri hii itasaidia mvua ikipiga maji yanateleza na pia kama kuna uwezekano mlango usiwe sana exposed kwa nje ukawa unanyeshewa na mvua hata kama sio mvua ya upepo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.