Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,181
- 3,115
Tukiacha changamoto za maji, umeme, tozo na mengine, naamini wote ni wazima na wenye changamoto za kiafya basi Mungu awape wepesi.
Niende kwenye mada, kama title inavyojieleza naomba kujua kuhusu hiyo masters tajwa.
Nmeona UDSM, na OPEN wanaitoa na nmevutiwa nayo kiasi ila kuna vitu nataka kujuzwa au kuvijua kabla sijajisogeza
1. Je ni umahiri gani mtu anatoka nao katika course hii
2. Je ni maeneo gani haswa wanahitajika watu waliosoma hiyo elimu,
3. Je kwa nchi yetu uhitaji ukoje kwa sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende kwenye mada, kama title inavyojieleza naomba kujua kuhusu hiyo masters tajwa.
Nmeona UDSM, na OPEN wanaitoa na nmevutiwa nayo kiasi ila kuna vitu nataka kujuzwa au kuvijua kabla sijajisogeza
1. Je ni umahiri gani mtu anatoka nao katika course hii
2. Je ni maeneo gani haswa wanahitajika watu waliosoma hiyo elimu,
3. Je kwa nchi yetu uhitaji ukoje kwa sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app