Mimi juzi tuu,mwanamke wangu nilikuwa namuelekeza kuwa Mama yangu hapendi baadhi ya vijitabia vyake,. Heeh si akaanza kuniwakia huku akisema mama yangu amezidi kumfatilia ki ukweli hata sijui ilikuwaje nilijikuta nimempa kofi la kichwa mpaka akazima kama robo saa,ingawa nilijisikia vbaya sana...
Pamoja na mapungufu madogo aliyo nayo Mkuu wa mkoa PM,ila mpeni haki yake,kama kuondoa nauli kwa walimu limefanikiwa knachotokea ni kwamba baadhi ya walimu,wameacha kwa hiari yao kutokana na mtazamo binafsi,lakin pi swala la viungo bandia kwa watu waliokuwa wamepotezam matumaini yalirejea,so Pm...
Ayayaaaaa, tena hapo ndo umepoteza kabisaaa,Mimi huwa sipangiwi. Mjomba Mag ndo mkuu wa serikali na mkuu wa chama chenye wabunge wengi anaowaongoza yeye,,
Ushauri wangu: TUFANYE KAZI ZETU, TUACHANE NA KAZI ZA WATU
Wee jamaa, mtu aliposema Mange, ukasema usichonganishwe, umeambiwa mkuu wa kaya unasema inawezekana akawa Socialpath, Acha hizo, kuwa Fair, Acha chuki!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.