Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,513
- 17,386
Huyo mtoto ana kiburi na amelewa madaraka sijui baada awamu hii na yeye atakuwa mstaafu sijui atafanya kazi na nani?? Hata sijuiii........kama atasoma alama aombe akawe katibu msaidizi wa ccm huko apotelee huko! Akibakia serikaliii atakuja kuishia jela!! Kesi jinai ya vyeti sio ndogo