Recent content by Valsava

  1. V

    Waganga wa jadi wanaichungulia 2024/25 kwa tabasamu pana

    Mkuu,Naomba maana ya hili jambo. Kuna kipochi cheusi kiliokotwa kando ya barabara kina: 1.Pesa 2.Chumvi iliyozungushiwa foil 3.kichupa kidogo chenye unga wa njano 4.Jiwe dogo la baharini lenye rangi kama ya gamba la konokono 5.Karatasi yenye maelekezo ya kucheza kete za...
  2. V

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Argentina hawana bahati..daah
  3. V

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Hawa ghana walifuzu kimagumashi mechi ile na wasauzi
  4. V

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Mpaka sasa morocco hawajaruhusu bao.Wako vizuri na boli wanalitembeza
  5. V

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Belgium kazidiwa.
  6. V

    Majaribio ya VAR Kuanza Kutumika Leo Nusu Fainali Ligi ya Vijana

    82dk. VAR review: Offside,No goal
  7. V

    Majaribio ya VAR Kuanza Kutumika Leo Nusu Fainali Ligi ya Vijana

    Dah naiona hapa ikitumika kati ya game la mtibwa na azam. Mwanzo mzuri..waongeze idadi ya kamera isaidie katika review.
  8. V

    Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

    Uzi umepoteza mvuto baada ya kuingiliwa na vijana wa udsm ambao wanaamini chuo ni udsm tu, vingine vyote ni takataka.
  9. V

    Mjadala: Kipi bora kati ya kwenda Chuo au Advance Level (Kidato cha Tano na cha sita) kwa mwanafuzi aliyemaliza Kidato cha Nne?

    Kwa swala la kusomea MD kupitia advance ni kimbembe sana..kati ya wanafunzi 60 wa PCB katika shule niliyotoka mwaka jana ni mmoja tu ndo alifanikiwa kuchaguliwa kusomea MD muhimbili maana inatakiwa biology uperfom vizur(B au A) ushindan ni mkubwa. Kama una uhakika utaweza kufaulu vizur unaweza...
Back
Top Bottom