Recent content by Valsava

  1. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sijajua, ila hizo issue za gpa huwa zinatumika katika taasisi za elimu.
  2. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    TIA NIT DIT IAA WI DMI hiyo I ni institute au Taasisi kwa kiswahili
  3. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwa pepa ya instrumentation Engineer II TPDC 1. Pepa ili base kwenye Sensors, Transducers, Transmitters, PLCs, DCS, SCADA, Safety, Mesurement & Errors etc. 2. Maswali yalihusisha kutoa solutions za Instrumentation Engineering Problems mfano PLC/DCS related problems 3. 30 Multiple choice...
  4. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana sijakata tamaa. ila imenipa moyo, maana nimepata 70, ila wamechukua kuanzia 79.(watu 6 tu kati ya 204) Paper ilikuwa experience based.
  5. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi pia... Interview yangu ya kwanza. Waliobahatika hongera kwao
  6. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sawa mkuu tusubiri tu huo mkeka..🤣🤣
  7. V

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pepa ilinyooka sana. Mimi nilihisi pepa za utumishi wanazingatia yaliyo kwenye job description/requirements, kumbe inategemea.
  8. V

    Unajua pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?

    Naomba, utume link hapa na mimi nione
  9. V

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nikki Mbishi - Utamaduni Dizasta Vina - Roho Kumi
  10. V

    Marefarii kutoka TZ katika Shirikisho muda huu!

    Hii timu iliyopigwa tano inaweza ikakutana na simba pia robo fainali.. simba inaweza ikafika fainali
  11. V

    Marefarii kutoka TZ katika Shirikisho muda huu!

    Dakika ya 75, berkane 3
Back
Top Bottom