Mkuu,Naomba maana ya hili jambo.
Kuna kipochi cheusi kiliokotwa kando ya barabara kina:
1.Pesa
2.Chumvi iliyozungushiwa foil
3.kichupa kidogo chenye unga wa njano
4.Jiwe dogo la baharini lenye rangi kama ya gamba la konokono
5.Karatasi yenye maelekezo ya kucheza kete za...
Kwa swala la kusomea MD kupitia advance ni kimbembe sana..kati ya wanafunzi 60 wa PCB katika shule niliyotoka mwaka jana ni mmoja tu ndo alifanikiwa kuchaguliwa kusomea MD muhimbili maana inatakiwa biology uperfom vizur(B au A) ushindan ni mkubwa. Kama una uhakika utaweza kufaulu vizur unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.