hakuna bina damu alie kamilika kila mtu anakosea na tunaomba msamaha tuna sameheana sizani kama nifanya kosa la kutisha any way sijui his perception sababu hata mimi nimemsahe mengi alio nikosea and sikua nakumbuka kabisa,.....i always put gud things in my heart nikisamehe nasamehe na kusahau...
shit happen kamwe usikubali kama umefanya iyo dhambi ila jua tu unaweza kumficha mwanadamu na asjue kabisa ila Mungu katu huwezi kumficha so i advise u tubu iyo dhambi na usirudie
kumbe kuna wanaume hua wana ingizwa mjni ivi ila mwanamke alie zaa hua anajulikana bana we inabidi uvumulie tu maana kama ndoa ya kikristo huna jinsi ukioa tena utakua unazini tu. pole sana jamaaa
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume...
yaan nimekumbuka mbali since nakua nakumbuka kua na rafiki mmoja wa kike na wengine wote wakiume hata xul nimesoma gal likini my fellow gals sikuweza kua na urafiki nao mi nlikua na marafiki shule ya boys jiran same sama hadi memaliza chuo nw am fighting this sababu marafiki wa kiume nw wanakua...
mi nisinge muacha huyu ningemwambia am not mad tuonane nimpige mzinga then namwambia nimefikia kwa ndugu zangu hivyo siwez lala kwake alafu nirudi iringa in reality ndan ya moyo wangu hayupo tena ila ninge revenge angefurahia shoo aisee asinge nisahau na hivyo nimesha wasaliti wahehe wenzangu...
Yaan na mimi nimejiuliza kiwanja kimekuwaje.....once nilipokua chuo bf aliniambia tuchange pesa tununue shamba nikamwambia mimi sina uhakika kama utanioa tusije zurumiana baadae aiseee alikasirika hakuniamini tena uhusiano ukakosa uelekeo......ila mi nlisema ukweli mambo ya kumnunulia mwanamke...
yaan wahongaji hawapo mwee mi sijawahi hongwa aisee hata birthday gift hakuna aaaah wanaume hawa khaaa yaan anajikuta ana zawadi toka kwangu kibao mwaka mzima ye hana alichotoa hana hata aibu looo wanaume muwe na aibu mtu hongee kha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.