Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Hongera na Pole kwa kufika hapo. You'll fall in love again and if favor is not on your side , you'll come to this again. Hayo ndo maisha- you don't choose the feelings , they choose you
mwenzio kaandika kiswahili wewe unamchanganyia kilugha, una uhakika anaifahamu hiyo lugha?
 
Kuna mvulana alafu kuna mwanaume kamili, sifa za mwanaume kamili yupo bize kutafuta pesa, wanawake wanamfukuzia yeye na yeye kazi yake ni kutoa huduma murua, kugegeda na kutoa huduma, kama hana mshiko bado atakuwa na Uhuru japo si kwa 100%, ila kazi ya kitandani itampa heshima kidogo, kwa maana hiyo mwanaume kamili, huwezi sikia analia lia kisa ni mwanamke, ke akileta sivyo ndivyo, unaanza mbele hakuna kurudi nyuma, ila kama wewe ni NDINDINDI ndo utasikia hayo hooo nimeachwa, hooo nakwenda mahakamani na mengine mengi
 
Alikutuma nani upende?? We si ushakula mzigo? Sasa habari ya kumgandaganda mtoto wa mwenzako unaitoa wapi
 
Hivi wanaume huwa pia wanalia kwa issue ya mapenzi? binafsi niliwahi kuumia tu ndani kwa ndani na mawazo kwa sana ila kulia itakuwa excessive use of feelings.
 
Ebu toa full story usaidiwe bhana ilo tatizo pia
 
umemnunulia chup kamvua mwingne daa pole mwana jikaze nw umekua sasa ! me aliondoka mmoja akaja mwingne zaid yake
 
mwenzio kaandika kiswahili wewe unamchanganyia kilugha, una uhakika anaifahamu hiyo lugha?
I'm pretty sure he does. Kwa sababu kila kiwezesha kupost ni cha kiingereza, menu za kiingereza na statistics za kiingereza. Elimu ya Tanzania ni ya kiingereza. Computer anayotumia maneno ya kiingereza ni mengi kuliko ya kiswahili.
Seeing that even your signature is in English will beg the question, what is really bugging you?
 
Haya mapenzi yangekuwa kwenye waliii nisingeulaaa, ningeuacha ulale nikiamka umechacha niumwage kabisaaaa....... Pole dogo
 
Back
Top Bottom