vaileth zainab
Member
- Jun 2, 2016
- 20
- 27
Yaan na mimi nimejiuliza kiwanja kimekuwaje.....once nilipokua chuo bf aliniambia tuchange pesa tununue shamba nikamwambia mimi sina uhakika kama utanioa tusije zurumiana baadae aiseee alikasirika hakuniamini tena uhusiano ukakosa uelekeo......ila mi nlisema ukweli mambo ya kumnunulia mwanamke mwenzangu asset hapanaushauri mwepesi mwambie huyo dada akae pemben kwanza ili aweke focus kwenye kazi maana kuna wengne hua tuko vizur kwenye urafik tukbadl status we cant keep the relation thing....
kingine kuhusu yule kaka wa mwanzo asiwe na wazo la kumrudia kwa maana tayar ana mtoto so Ampe ruhusa alee mwanae na yule mwanamke mwengine
swali la msingi tu vip kile kiwanja walichoanza kujenga kimeishia wapi?