Nilikuwepo. Kosa kubwa la kimkakati alilo fanya ni kuzungumza peke yake kwa muda mrefu sana, around 90 minutes. He consequently exhausted his concentration,seriously damaging his memory and the quality of the speech. Mwisho mwisho huku he was just taking the role of Joti et al, and all right -...
Hivi bado Tunahitaji kamera zinazoshikwa na "askari wasiovaa sare" katika karne hii? Yako wapi matunda mema ya teknolojia wanayofaidi wanadamu wenzetu huko kwao? Huyu "askari asiyevaa sare" ataacha kujikinga mvua ikinyesha? Atasimama barabarani kama mlingoti kwa masaa mangapi kabla hajachoshwa...
kwa kurudiarudia neno 'inasemekana' inaonyesha jinsi usivyo n uhakika na unachokisema. Si kweli kwamba mwema na bilali wako tandahimba. Waliokwenda huko ni afande chagonja na rpc. Hebu tulinde heshima ya jf kwa kusema ukweli jamani!
Kusema kweli sikujua kama huyu ndugu alishatutoka. Ilikuwa lini? Imeniuma sana. Alikuwa kichwa. Kichwa kwelikweli. Pole nyingi kwa mjane na ndugu wengine. Nimeshituka!
hakuna nyumba ya mmakonde iliyovunjwa. Kama una uhakika itaje. Mtu aliyevunjiwa nyumba kwa kupangisha askari anatokea kilwa. By the way, wewe kwa akili yako unaona ni poa tu kuvunja nyumba ya mtu kwa sababu tu amepangisha askari? Pathetic!
hivi una habari kwamba wamechoma moto nguzo 21 za umeme na kuharibu kwa sehemu kubwa miundombinu ya barabara? U need to be crazy to support such hooliganism!
Nimepata picha kwamba wachangiaji wengi humu hamjajua hasa nini kinaendelea. It's xenophobia at work. Familia zote zilizoporwa au kuharibiwa mali zao ni za watu wasio wamakonde. Threats zote zinaelekezwa kwa civil servants. Hawajashambulia ofisi ya ccm wala ya ushirika. It's pure xenophobia. I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.