Aisee watu hawana huruma, kuna jamaa anayedaiwa mwizi wa bodaboda kachinjwa Mchana huu pale Moshi Bar karibu Mazizini Dsm, ni kwamba jamaa alikamatwa maeneo ya Kigogo na madereva bodaboda, akapakizwa pikipiki watu 3 ye kawekwa katikati kaambiwa aelezee pikipiki alizoiba kaziweka wapi, bodaboda wakawa wanaitana kila wanapowaona wenzao, Wakaenda Kinondoni hawakuona pikipiki, jamaa akawaambia zipo maeneo ya gongolamboto Moshi bar, Wakaenda walipoona jamaa anawasumbua Wakaamua Kumchinja, mchana Kweupe.... Police wa Stakishari wamekuja kuuchukua mwili wake wameenda Muhimbili...
Tuache Wizi Jamani.... Tuache Makundi.