GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Ni mfumo ambao Serikali kupitia vyama vya ushirika hukusanya mazao ya wakulimaHivi maana yake ni nini?
kwa lazima (Utake usitake) na kuyauza huko mnadani kwa bei ambayo mkulima haijui
na kisha hukaa na kujadili mkulima alipwe kiasi gani.