Recent content by uvivumwiko

  1. U

    JamiiForums Tanzania Utafiti: watoto wetu wanajifunza?

    Utafiti unaonyesha jinsi watoto wetu wanavyopata elimu duni. Fuatilia utafiti huo hapa chini http://www.twaweza.org/uploads/files/Je_watoto_wetu_wanajifunza.pdf
  2. U

    JamiiForums Tanzania Tathmini ya kina uchaguzi 2010: Kama kweli ......

    Hizi kura umezipata wapi?Inaonekana kama vile za ukweli
  3. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Baada ya tamko zito la Dr. Slaa, Chadema sasa yatakiwa kutoa takwimu zao za Urais...

    Ndugu Kasheshe, Dr. wa kweli hataki kutupeleka vitani ndiyo maana mara kwa mara amesisitiza wananchi kutunza amani iliyopo. Anachotaka Dr. wa kweli ni matokeo halisi ya kura za urais na siyo yaliyochakachuliwa na mafisadi. Atakayefanya nchi hii iwe kama ilivyokuwa Angola enzi za Savimbi ni hao...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Watu wenye hulka ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi wanajulikana kwa matendo yao; Buckreef ni mmoja wao. Yawezekana ni mtoto au ndugu wa mafisadi, au fisadi lenyewe. Ucheleweshaji wa matokeo ya ubunge ni dalili tosha ya wizi wa kura. Haiingii akilini nchi ya zanzibar wameshatoa matokeo ya urais...
  5. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Zitto ajeruhiwa na Polisi, apelekwa Hospitali

    Mh Zitto peleka hao askari polisi waliotumwa na CCM kukushambulia wewe na Chama chako
  6. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Zitto ajeruhiwa na Polisi, apelekwa Hospitali

    Hivi wewe Kishongo unayo akili timamu kweli? yaani unaona ni sawa polisi kutaka kumuua mh. Zitto? Unatakiwa utoe ushirikiano katika kukemea hali kama hii maana ipo siku yatakupata wewe. Pole sana Zitto. Nashauri uwashitaki hao polisi kama unao ushahidi
  7. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 CONFIRMED: Maswa Mashariki na Magharibi: CHADEMA yaua tena

    Very good. Nguvu ya umma ni nguvu ya MUNGU. Hila zote za CCM zimeshidwa
  8. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 CONFIRMED: Lema atangazwa rasmi kuwa mbunge wa Arusha mjini

    Kwa CCM hizo ni kauli za kawaida. Wajue kuwa ule muda wa kutisha wananchi umekwisha
  9. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 CONFIRMED: Lema atangazwa rasmi kuwa mbunge wa Arusha mjini

    Wewe wasema Lema ni muhuni na tapeli. Hayo ni maoni yako, katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakuruhusu. Lakini watu wa Arusha si wajinga kama unavyofikiria. Wamemchagua kwa kufuata taratibu zote za kidemokrasia. sasa wewe unataka Buriani atangazwe mshindi kwa kuwa unafikiri Lema ni...
  10. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Hali ya baadaye ya dr. Slaa kisiasa.

    Acha kurudiarudia kuweka thread amabayo ulishaiweka. Umetumwa na CCM?
  11. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Hali ya baadaye ya dr. Slaa kisiasa.

    Dr. Slaa ni katibu wa CHADEMA, mtu makini; Siyo kama mropokaji Makamba(Mwalimu mkuu mstaafu). Siamini kuwa Dr. Slaa atashindwa iwapo uchaguzi ulifanyika kwa haki na kura hazitachakachuliwa. Ikitokea kwa bahati mbaya ameshindwa ataendelea kutimiza wajibu wake katika chama kama ktibu mkuu...
  12. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Tume yaahirisha Uchaguzi katika baadhi ya Majimbo na Kata

    Tume yaahirisha Uchaguzi katika baadhi ya Majimbo na Kata TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: KUAHIRISHA BAADHI YA CHAGUZI MBALIMBALI Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuwatangazia wananchi wote kuwa katika kikao chake cha tarehe...
  13. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 ITV Live: CCM wapiga kura 9 mtu mmoja - Maswa Mashariki

    Acha uwongo wako. Kamwe huwezi kuwadanganya watanzania kwa wakati wote. Mwaka huu wananchi wamekataa kudanganywa.
  14. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura: Kwa nini darasa la saba?

    Wengi wa Wasimamizi na makarani wa vituo vya kupigia kura Jimbo la MONDULI kwa uchaguzi utakaofanyika 31/10/2010 ni wahitimu wa darasa la saba. Ni ukweli dhahiri kuwa mhitimu wadarasa la saba hana uelewa wa kutosha kumwezesha kuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura. Madhara ninayofikiri kuwa...
  15. U

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ratiba ya kampeni ya Dr. Slaa

    Ratiba ya kampeni ya Dr. Slaa imepangwa na tume au CHADEMA ndiyo ilipendekeza. Naona ratiba hiyo haiyapi baadhi ya maeneo umuhimu unaostahili kwani anachukua muda mfupi sana na hafiki baadhi ya maeneo muhimu. Mfano Arusha hajafika Monduli ambako yupo kinara wa ufisadi. Kwani hiyo ratiba...
Back
Top Bottom