TORRIMINATOR
Member
- Nov 2, 2010
- 6
- 0
MH.Zito kabwe ashambuliwa na mabom ya machozi kigoma aokolewa na mdogo wake !
sorce: itv live zitto mwenyewe
sorce: itv live zitto mwenyewe
Hivi sasa ITV imetoka kumhoji Zitto Kabwe live ambaye amewatuhumu polisi wa mkoa wa Kigoma kumtishia na bastola na bunduki wakitaka kumtoa roho yake kwa sababu ambazo hata yeye hazielewi............
Waingereza wana neno zuri juu ya mtu kama wewe "sadist." yaani mtu anayefurahia shida na mateso ya wengine. Katubu ndugu yangu.Acha umbea, waache polisi wafanye kazi yao.
Hivi wewe unashikishwa ukuta au?usiwe unaandika mauharo yako hapa
Wakati Mhe Zitto anafanya jitihada za kuwatuliza wanachma wake polisi walikuwa wapi?? Baada ya wananchi (wanachama wa Chadema) kutulia polisi walifuata nini kwenye ofisi za Chadema?? Kurusha mabomu? Ndiyo, kurusha mabomu kwa kuwa ndicho walichokifanya. Haya basi, madhumuni halisi yalikuwa ni nini? Nani aliwatuma? Maswali haya machache yananifanya nizidi kujiuliza hii amani inayohubiriwa nchi inamhusu nani hasa?usiogope! nilikua naendelea ... ni kwamba alikua ameenda kuwatuliza wanachama wa chadema waliochachamaa baada ya matokeo ya ubunge yaliyotangazwa kwa ccm imeshinda jimbo la kigoma mjini . Baada ya wananchi kutulia polisi walivamia
jengo la chadema na kuanza kushambulia na mabomu . wakati wa tukio hilo Mh. zitto aliokolewa na mdogo wake ambae alimkinga na mabomu yaliyokua yakiingia madirishani ambapo yalimuumiza mdogo wake mkononi! Baada ya tukio hilo kwenye chumba alichojificha Mh. Zitto kulikutwa ganda la risasi ambayo inasemekana ilipigwa pamoja na mabom.
MH.Zito kabwe ashambuliwa na mabom ya machozi kigoma aokolewa na mdogo wake !
sorce: itv live zitto mwenyewe
Waingereza wana neno zuri juu ya mtu kama wewe "sadist." yaani mtu anayefurahia shida na mateso ya wengine. Katubu ndugu yangu.
vipi ni kweli unaweza kusema hivyo?Acha umbea, waache polisi wafanye kazi yao.
sasa kufa zitto ni tatizo ? ikiwa anahatarisha amani ya nchi atashughulikiwa bila ya kumuangalia usoni
na huyu dogo anapenda sifa