Elections 2010 Ratiba ya kampeni ya Dr. Slaa

uvivumwiko

Member
Mar 22, 2010
20
1
Ratiba ya kampeni ya Dr. Slaa imepangwa na tume au CHADEMA ndiyo ilipendekeza. Naona ratiba hiyo haiyapi baadhi ya maeneo umuhimu unaostahili kwani anachukua muda mfupi sana na hafiki baadhi ya maeneo muhimu. Mfano Arusha hajafika Monduli ambako yupo kinara wa ufisadi. Kwani hiyo ratiba inasemaje? wenye nayo naomba msaada.
 
monnduli:)lazima kieleweke huko nako.. Baadhi ya wananchi wamelewa pesa ya ufisadi. Ila yana mwisho.
 
A very clever Ratiba.. He will do a killing on the last week! DR SLAA for President 2010-2015
 
ratiba ipo kwenye web ya chadema,. waliiweka hata kabla ya campaign kuanza. tuwe tunatembelea na kule na kuwapa suggestion zetu.
 
Hiyo Jumamosi ya Octoba 30 lazima watayarishwe manesi wengi wa kutoa huduma ya kwanza. Sio kwa umati mkubwa utakaofurika kwa Slaa tu, ila hata kwa viongozi wa CCM ambao wataweza kupata mshtuko.

Ni tumaini langu kwamba viongozi wa CHADEMA Dar wameshaanza mikutano ya kupanga hiyo siku. Itakuwa ni ya kihistoria. Na itafuatiwa na siku nyingine ya kihistoria Jumapili, siku ambayo TAIFA LA TANZANIA LITABADILISHA CHAMA TAWALA KWA MARA YA KWANZA!
 
Chadema wazingatie sana Ratiba ya CCM... hasa vijijini na kwenye machimbo/migodi kwani huko ndiko kwenye wapiga kura wengi zaidi...
 
paperclip.png
Attached Files
 
Back
Top Bottom