Vipi kuhusu huyu wazili............aliye sema walio uawa ni wasomalia nasakata lakupotea Ben sa8 yeye hana dalili zakutumbuliwa.mmhhh!!! Faru john naona Yuko juu kuliko binadamu.
Ndo hapo sasa mkuu watu wamekalia lawama tu.kama niwapinzani kulianzisha washalianzisha yani wa Tanzania huwa wananishangaza sana gali ununuliwe namafuta nayo uwekewe.?
Huwa nafikilia sana kuhusu hili taifa mpaka kichwa kina niuma.kunawatu eti wanategemea wapinzani walete katba mpya hii nisawa nakusubilia embe chini ya mnazi.tusipo kuja kujitambua sisi kama sisi no more.hivi in nini ambacho wapinzani hawaja kiongea kizuri?imefikia hatua wamekosa mwitikio kutoka...
Acheni zenu nyie was tz kazizenu kulaumu watu tuu hamna lolote hao knambowe kwa talifa yenu Sasha wasoma ndomaana wamenyamaza tuu.lema yuko ndani mpaka sasa mmechukua hatua gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.