Maelezo ya polisi Morogoro sijayaelewa

Maelezo ya polisi Morogoro sijayaelewa

tusiojua mechanism ya risasi tutie gundi midomo yetu.....maana nikiulizwa nieleze risasi iliyofyatuliwa juu baadae ikarudi chini inanguvu gani......SIWEZI
 
Jana iliripotiwa kuuawa kwa watu wawili kwa risasi morogoro nimeskiliza maelezo ya polisi wanadai walipiga risasi ishirini na mbili juu kutawanya wananch na mbili **ZILIWAGONGA* raia wakafariki sasa nachojiuliza risasi zikipigwa juu ziwagongaje watu wa chini na wakaeleza pia majeruhi mmoja yuko hosptl kwa matibabu lkn uongozi wa hsptl umekana kupokea majeruhi yoyote wa tukio hilo kwahili sjaelekidogo maelezo ya polise


Inaweza / haiwezi, kama vile risasi unayolengwa nayo, inaweza ikakuuwa na inaweza isikuuwe.

Soma zaidi: Can falling bullets kill you?
 
Nyie ndio huwa mnapoteza watu.

Upuuzi kama wa juzi mbeya polisi wanawaangalia ndio mnaoutaka.wakitumia upolisi wao vyema inakuwa shida.

Unaanzaje mazoea na mtu kabena siraha, au za polisi hazipigi.nyie jadilini tu kauli tata za hao jamaa muone kama ipo siku mtawaelewa.
Sijakuelewa mkuu hebu rudia tena
 
Mijitu kama hii ijumaa au jpili inaenda kuswali /kusali afu linaongea uongo hata mtoto mdogo haamin MWENYEZI MUNGU atawahukumu kwa maovu mnayotenda
Na jumamosi pia ni siku ya kwenda kusali
 
Nyie ndio huwa mnapoteza watu.

Upuuzi kama wa juzi mbeya polisi wanawaangalia ndio mnaoutaka.wakitumia upolisi wao vyema inakuwa shida.

Unaanzaje mazoea na mtu kabena siraha, au za polisi hazipigi.nyie jadilini tu kauli tata za hao jamaa muone kama ipo siku mtawaelewa.
Unamaana unakubaliana na walichotenda police kumbuka hao waliouawa ni binadamu nakama unakumbukumbu nzuri hata mkuu wa nnchi alisha lalamika kua POLISI WANATUMIKA VIBAYA sasa sijui unatetea nn hapo
 
Ni lini polisi walishatoa maelezo yenye kukidhi haja? Ipo siku Raia nao watachoka huku mtaani kutachimbika. Hivi hawa tunaoishi nao huku mtaani watu wakiamua mbwai na iwe mbwai itakuwaje? Naamini risasi za polisi zikipigwa juu wakati wa kurudi ardhini huwa zina uzito wa kilo 500 hivyo mwananchi lazima afe tu! Ila za wanajeshi zenyewe zikishafyatuliwa wakati wa kurudi ardhini zinakuwa hazina uzito!
Hao raia wataochoka mtaani Ni raia wa nchi gani unawazungumzia? Kwani Mara ngapi matukio Kama haya yanatokea!?? Na hao raia walishachukua hatua gani? Watanzania walio wengi Ni Kama Mwanamke Malaya Tu! "Unaweza kumpa ahadi tamu tamu mchana Na jioni ukaenda kumgonga bureee"
 
Back
Top Bottom