watanzania gani waliumia wewe.wananchi tulio wengi tuliishi maisha ya kawaida tu kama tunavyoishi sasa.labda ninyi mabepari wakwepa kodi ndo mdai mliumizwa.afu msipende kuzungumzia maumivu yenu wachache kuwakilisha umma mkubwa wa watanzania
humu kuna watu wanajikuta wajuaji sana wa mambo kumbe hata pengine wanashindwa kuyadadafua katika maisha yao ya kila siku.mfano wa Nyerere kuzaliwa katika wasomi wachache ni sawa useme kina Mao ,Mahindra,Kenyattah,Nkurumah pia walizaliwa kwenye wasomi wachache kana kwamba uongozi ungewashinda...
hili jamaa lililoandika hii mada utakuta pia ni shabiki la timu za nje huko na endapo akipewa mialiko kwenda huko pia atashangilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.