mchecheto
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 1,532
- 1,465
wanaweza kua smart kwenye utoaji ila wana mazaifu mengi sanasabato utoaji upo ila si wa kufanya hivyo, ukisema huna unaachwa. yaan ni hiari yako ila zaka unatakiwa uelewe malaki 10.
kazi yao kuponda makanisa mengine na kujiona wao ndio wenye mungu kwa hoja ya kusali jumamosi.Na ni wabaguzi sana..dhehebu lingine kuoa msabato ni ngumu kuliko kuoa mwislam wa pemba
Sent using Jamii Forums mobile app