Naunga mkono hoja, hii inaitwa due diligence, na hufanywa na "wale jamaa zetu", tena haikupaswa kufanywa kwa wageni tuu, hata kwa viongozi wetu, sio mnaona sasa kuna watu kila siku wasasifiwa hadi "kwa msaada wa watu wa Marekani". ndipe watu wanagutuka!.Watanzania wengi, kwasababu ya hali ya amani na utulivu vilivyoshamiri, tumekuwa na tabia ya kujisahau na kuishi kwa mazoea tukidhani ya kwamba kila kitu kiko sawa wakati wote kumbe wakati mwingine kujisahau huko hutoa mwanya kwa wabaya wetu kutudhuru.
Nakuachia Kigwangalla na mamlaka zingine husika kunitoa wasiwasi kumuhusu mtu huyo. Mi nikimwona akili huwa hainipi kabisa. Sorry incase nakosea namna ya kupresent jambo hilo lakini hiki ndicho ninachokihofia mimi, why shouldnt i put it open ili mnaomfahamu mtu huyo mnitoe hofu!
Kaoa Marangu hivyo hana jinsi zaidi ya kuipenda nchi iliyompa kiburudisho
wewe unatumia ID gani kuongea yenye busara..?