GENDER STIGMATIZATION: CHADEMA KUSHINIKIZA KUFUKUZWA WABUNGE VITI MAALUM
CHADEMA leo Mei 4, 2021 wanatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kwa lengo la kumjibu Spika Job Ndugai ambaye jana amepinga ombi la CHADEMA linalomtaka awavue Ubunge wanawake 19 wanaokiwakilisha chama hicho kama wabunge wa viti maalum.
Ndugai alisema kwamba kitendo cha CHADEMA kuwavua ubunge wanawake hao ni udikteta kwa kuwa hawakusikilizwa pia ni ukandamizaji wa wanawake uliofururu ada.
Wanaoshinikiza mpango huo ni John Mnyika na wanawake wa CHADEMA ambao wanadaiwa kuuza utu wao na kudhalilisha miili yao kwa ajili ya madaraka.
Aidha, CHADEMA bila aibu yoyote wanatarajia kuitisha maandamano ya kupinga ubunge wa kinamama hao waliokuwa watetezi wakubwa wa wanawake ndani ya Chama.
Itakumbukwa kuwa, Halima Mdee na wanawake wengine 19 waliopo bungeni ndio wanawake wasiomuogopa yoyote pindi wanaposimama kutetea haki.
Watanzania tunapaswa kupuuza ujinga unaofanywa na CHADEMA na badala yake tuendelee kufuata maagizo ya Mama yanayotutaka tufanye kazi kwa bidii ili tusipate laaana.
CHADEMA leo Mei 4, 2021 wanatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kwa lengo la kumjibu Spika Job Ndugai ambaye jana amepinga ombi la CHADEMA linalomtaka awavue Ubunge wanawake 19 wanaokiwakilisha chama hicho kama wabunge wa viti maalum.
Ndugai alisema kwamba kitendo cha CHADEMA kuwavua ubunge wanawake hao ni udikteta kwa kuwa hawakusikilizwa pia ni ukandamizaji wa wanawake uliofururu ada.
Wanaoshinikiza mpango huo ni John Mnyika na wanawake wa CHADEMA ambao wanadaiwa kuuza utu wao na kudhalilisha miili yao kwa ajili ya madaraka.
Aidha, CHADEMA bila aibu yoyote wanatarajia kuitisha maandamano ya kupinga ubunge wa kinamama hao waliokuwa watetezi wakubwa wa wanawake ndani ya Chama.
Itakumbukwa kuwa, Halima Mdee na wanawake wengine 19 waliopo bungeni ndio wanawake wasiomuogopa yoyote pindi wanaposimama kutetea haki.
Watanzania tunapaswa kupuuza ujinga unaofanywa na CHADEMA na badala yake tuendelee kufuata maagizo ya Mama yanayotutaka tufanye kazi kwa bidii ili tusipate laaana.