Kk jeshi ni kufuata amri tuuh ya serikal ilikuwa madarakani kwa mujibu wa katiba sasa serikali ni CCM na wao hawataki kutoka madrakani lazima watumie dola kubaki madrakani so mm sijaona jeshi wankosa gani hapo
Yaan NATO kwa uturuli hawana cha kusmea koz ndo nchi inayouunganisha ulaya na mashariki ya kati so ana uwezo wa kufnya hivo by the way wazungu bana wachokoz sna kwa nn uchome Quran for what...
... niliamni wazungu wako civilized lakin bado wapo kwenye zama za zman
Yeah wanahaki ya kufanya hivo koz kama u DChauna tija ya nn kujipa jaka la moyo
........ ukiona hivo ujue hawa sio watu wa interests maan kukataa ukuu wa wilay sio simplelakin kwangu mm nawaunga mkono
Huwa najiuliza sana izo 20 billion aliziweka wap koz kama ipo hio 20 billion kwenye account ya simba tunaweza kununua at treasury bond pale BOT na ikawa kama ndo dhamana yetu yaani tunapata contractor mzur tunjenga iwanja na kila kitu but sizan kama ni kwel sasa kama mapato ni 12bil na matumizi...
Yeaah apo tafsiri ya ugaid ni changamoto but mara nyingi inhushwa na uislamu yaan ikitokea mauwaji yoyote kama aliyeua si muislamu inakua so shida but akiwa muslim that is terrorist........ dunia ina mambo😁
Sure kabisa yaan ukienda hospital ukiwa na bima unaonekana kama sio mgonjwa af pia ina limiti ya kutibiwa example mm nitumia miwani but bima haiwez kunilipia ..... nini maana yake
Yaani kwa masharikibya kati nchi amabayo ni threat kwa marekani na washirika wake ni iran that is why shirika la kijasusi la Israel linawaangamiza wana syansi wakubwa wa nyuklia wa iran ili kuwapunguza nguvu na wakifanikiwa tuu kwa iran watakua wmeshaweza mashariki ya kati ....... bg the way pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.