Kampuni za simu zimulikwe kuna tatizo pahala. Gharama za vifurushi zinazidi bajeti ya kuweka petrol kwenye gari kutembea kilometre 18

conductor

JF-Expert Member
May 29, 2013
718
569
Ukinununua bandle ya sh.500 Airtel yenye MB 245 ni Sawa na kununua Mb 1 sh 2 na cent, kufungua tu application ya Airtel uliyo weka kwenye simu, (kufungua tu loading time), unakula Mb 30 ambazo ni Sawa na sh 60. Kitendo cha kufungua tu kinachuka kama sekunde moja au kati ya sekunde 45-50 (wale wenye 4G).

Hivyo basi kama hiyo ndo kanununi inayotumka kwa Application zote zilizoko kwenye simu let say, TRA, JF, WHATSAP, FB, TWITTER, nk.. application nane tu kufungua.

Bandle imeisha, sijakwenda kwenye application na kuanza kusearch. Hapo tunaelekea wapi kama nchi na ,Kama jamii inayotegemea IDARA zilizopewa jukumu la kusimamia WALAJI haioni j ambo hili kama tatizo kubwa?

HOFU yangu binadamu ana tabia ya kuvumilia Sana, akija kufanya maamuz sijuhi jiwe litadondokea kwenye nyumba ya vioo ya nani. Ushauri wangu SERIKAL NA WAMILIKI wa makampuni haya na wafanyakazi wake wajue si ajabu jamii ambayo haiko kwenye maamuz inaweza kuwa inajua zaidi kuliko wao, lakin wengine tunawazid ufaham tu,ila si wote tulundikane sehem moja, kuna kizazi kitakataa Ujinga huu.


Screenshot_20230129-221516.jpg
FB_IMG_1673980915821.jpg
 
vodacom Ndio kiboko tu, ninajiunga dakika za Tzs 3000, napewa dakika 370 Kwa siku saba. Hizi dakika ukizibadilisha kuwa masaa unapata masaa 15 ila ndani ya siku tatu zinakua zimeisha.

Yaani kwamba nimeongea na simu kwa wastani wa masaa matano Kwa siku. Haha maajabu yanapatikana Tanzania ya CCM tu
 
vodacom Ndio kiboko tu, ninajiunga dakika za Tzs 3000, napewa dakika 370 Kwa siku saba. Hizi dakika ukizibadilisha kuwa masaa unapata masaa 15 ila ndani ya siku tatu zinakua zimeisha.

Yaani kwamba nimeongea na simu kwa wastani wa masaa matano Kwa siku. Haha maajabu yanapatikana Tanzania ya CCM tu
Umefikia 75% ya matumizi ya dk za mitandao yote kwenye kifurushi cha Cheka Tsh 3000, umebaki na Dk 73.6 mitandao yote. Piga *149*60# kujua salio la kifurushi.
 
Ukinununua bandle ya sh.500 Airtel yenye MB 245 ni Sawa na kununua Mb 1 sh 2.na cent, kufungua tu application ya Airtel uliyo weka kwenye simu, (kufungua tu loading time), unakula Mb 30 ambazo ni Sawa na sh 60.kitendo cha kufungua tu kinachuka kama sekunde moja au kati ya sekunde 45-50. ( wale wenye 4G). hivyo basi kama hiyo ndo kanununi inayotumka kwa Application zote zilizoko kwenye simu let say, TRA, JF, WHATSAP ,FB, TWITTER,nk.. application nane tu kufungua . Bandle imeisha, sijakwenda kwenye application na kuanza kusearch. Hapo tunaelekea wapi kama nchi na ,Kama jamii inayotegemea IDARA zilizopewa jukumu la kusimamia WALAJI haioni j ambo hili kama tatizo kubwa,? HOFU yangu binadamu ana tabia ya kuvumilia Sana, akija kufanya maamuz sijuhi jiwe litadondokea kwenye nyumba ya vioo ya nani. Ushauri wangu SERIKAL NA WAMILIKI wa makampuni haya na wafanyakaz wake wajue si ajabu jamii ambayo haiko kwenye maamuz inaweza kuwa inajua zaidi kuliko wao, lakin wengine tunawazid ufaham tu,ila si wote tulundikane sehem moja,kuna kizazi kitakataa Ujinga huu. View attachment 2499634View attachment 2499639
Airtel ni waizi wakutupwa kaa nao mbali kwenye mambo ya kifurushi asee utalizwa mkuu 🤣
 
Hii nchi upuuzi ni mwingi sana,CCM haitotoka madarakani bila kutolewa kwa Nguvu

Kuna muda mpaka mtu unatamani yatokee mabaya
Bila ya wananchi kuonesha kuchoshwa na ushenzi kwa vitendo hii nchi haitakaa iendelee.
Ila cha ajabu wanaendelea kumuachia Mungu kila kukicha. Watoto wetu watakuja kuishi kama wakimbizi hio siku inakuja
 
Bila ya wananchi kuonesha kuchoshwa na ushenzi kwa vitendo hii nchi haitakaa iendelee.
Ila cha ajabu wanaendelea kumuachia Mungu kila kukicha. Watoto wetu watakuja kuishi kama wakimbizi hio siku inakuja
Ni kweli Mkuu,nchi zingine upuuzi kama huu unatosha watu kuandamana
 
Hii nchi ngumu sana Mkuu,Lissu atachoka tu
Daaah kweli mkuuu. sema sisi watanzania kiukweli ni wazuri sana tukiwa kwenye keyboard lakini siyo hadharani kuongelea haya mambo. Nchi ambayo hata kusikia migomo ni nadra ngumu sana mkuu. Watu awapendi hii hali ILA ni nature ambayo tumekuwa nayo KWA miaka mingi. SISI NI WAOGA MKUU😂😂😂ILA KWENYE KEYBOARD NA MITANDAO NI SUPERHERO
 
Kama huna bundle unlimited basi hesabu maumivu, au vinginevyo hautaweza kuaccess mambo mengi mtandaoni...

Kadri siku zinavyoenda nao wanashusha mb, wao ile theory ya economies of scales hata haiapply kwao.

Ila kwa watumiaji wa voda wamesett speed mpaka mbps 100, hivyo inabidi upunguze speed mpka 5mbps ndo angalau Bando litakaa.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom