Nampongeza raila kwa uthubutu na ujasiri aliouonyesha hakika Mzee huyu no mwanaharakati aliyekomaa kwani ndie aliyewaongoza wakenya kupata katiba mpya na Leo kathubutu kujiapisha hakika Mzee unafaaa.Sio Tanzania tuliojaza mamluki utasikia nakabidhiwa nchi wiki ijayo Mara mwezi ujao atimae miaka...
Mnajua nyie wanawake mna tabu sana na kwakuwa nmmepewa vishimo ndo maana mnatunanga sana laiti mngejua nyie ndo chanzo cha vyote msingekuw mnaongea hivyo mnajisahau hata kusafisha vijishimo vyenu mtu unatoka huko na minyege yako unamkuta mtu ana stress zake za maisha unamvamia unataka dudu pale...
Wanashindwa kufatilia mambo ya msingi waamfatilia huyo mtumishi ebu wamwachie yawezekana roho mtakatifu ndo anamuongoza kwa staili hiyo mambo ya kidini yatatuchanganya watanzania tunataka tujue no wakina nani walimshambulia lisu na Ben saa nane yuko wapi? Huyo mtumishi kama wafuasi wake...
Sex ni kuhakikisha kila mtu anafika kileleni na kumkojolesha mwanamke ni timing Ali mradi ujue nyege zake zimelalia wapi ukishazijua mchezee eneo ilo mpaka alalame kisha muingizie hakika wote mtafika kileleni na kila mtu atafurahia tendo.
Hapo kodi sio tatatizo Bali kuikosoa serikali lakini ikumbukwe taasisi za kidini zipo kwa ajili ya jamii na pindi wanapoona kuna mambo hayaendi vizuri wana haki ya kusema lakini hapa tz mambo yanakuwa tofauti naamini wakitoka kwa kakobe wanaenda kwa gwajima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.