Recent content by unknown person

  1. U

    Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

    Nampongeza raila kwa uthubutu na ujasiri aliouonyesha hakika Mzee huyu no mwanaharakati aliyekomaa kwani ndie aliyewaongoza wakenya kupata katiba mpya na Leo kathubutu kujiapisha hakika Mzee unafaaa.Sio Tanzania tuliojaza mamluki utasikia nakabidhiwa nchi wiki ijayo Mara mwezi ujao atimae miaka...
  2. U

    Kulikoni wanaume wa miaka hii mmekuwa wadhaifu namna hii?

    Mnajua nyie wanawake mna tabu sana na kwakuwa nmmepewa vishimo ndo maana mnatunanga sana laiti mngejua nyie ndo chanzo cha vyote msingekuw mnaongea hivyo mnajisahau hata kusafisha vijishimo vyenu mtu unatoka huko na minyege yako unamkuta mtu ana stress zake za maisha unamvamia unataka dudu pale...
  3. U

    Dodoma: Serikali kumshughulikia anayejiita Nabii Tito. Afika Kituo Kikuu cha Polisi kwa mahojiano

    Wanashindwa kufatilia mambo ya msingi waamfatilia huyo mtumishi ebu wamwachie yawezekana roho mtakatifu ndo anamuongoza kwa staili hiyo mambo ya kidini yatatuchanganya watanzania tunataka tujue no wakina nani walimshambulia lisu na Ben saa nane yuko wapi? Huyo mtumishi kama wafuasi wake...
  4. U

    Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

    Cha msingi piga kazi huku ukimtanguliza mungu mbele kumbuka mungu pekee ndio alikuwezesha kupata hiyo kazi na ndiye atakulinda udumu kwenye hiyo kazi.
  5. U

    Ushauri: Wanaume na ulimbukeni wa michezo ya 'tigo'

    Mwenye masikio na asikie meseji imefika
  6. U

    Kama dunia inazunguka kwanini hatumwagiki?

    Ndo maana wengine wanatapika tapika ovyo kwani wanataka kuzunguka na dunia sambamba
  7. U

    Cyprian Musiba: Rais hataki miaka 7 ila sisi tunataka, Bunge lifanye mabadiliko ya Katiba

    Watu wengine sijuh wamerogwa na nani? Wengine tunaitaji uchaguzi hata kesho.
  8. U

    Utafiti: Wanawake wengi hupenda Wanaume wanaokaa Kifuani kwa dakika 25 na siyo dakika 5 hadi 7

    Sex ni kuhakikisha kila mtu anafika kileleni na kumkojolesha mwanamke ni timing Ali mradi ujue nyege zake zimelalia wapi ukishazijua mchezee eneo ilo mpaka alalame kisha muingizie hakika wote mtafika kileleni na kila mtu atafurahia tendo.
  9. U

    TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

    Hapo kodi sio tatatizo Bali kuikosoa serikali lakini ikumbukwe taasisi za kidini zipo kwa ajili ya jamii na pindi wanapoona kuna mambo hayaendi vizuri wana haki ya kusema lakini hapa tz mambo yanakuwa tofauti naamini wakitoka kwa kakobe wanaenda kwa gwajima.
Back
Top Bottom