Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,055
Kama hujazaa bado usithubutu kutumia hzo kitu, ni mbaya sana na madhara yake ni makubwa ikiwemo kutopata mimba hapo baadae. Tatizo mabinti mnadanganyana sana, leo utaona faida ya hzo sindano kwamba hupati mimba lkn wakati ukifika wa kutafuta mtoto ndo itakuwa majuto ni mjukuu, na mwisho wa siku upate kansa ya kizazi bure. Tumia kondom au kalenda mbona zinasaidia sana