Recent content by Universal-soldier

  1. U

    Raymond Kigosi bado anaigiza?

    hujaisikia ya juzi juzi hapo??? Huyo wa kulia kwake pichani nusu avunje ndoa yake.
  2. U

    Congress in turmoil as protesters storm US Capitol Building

    Wafuasi wa tundu lissu ni mabingwa wa ku comment tu humu ndani ila walipoitwa kwenye maandamano waka ufyata.
  3. U

    Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Umeandika pumba tupu. Hivi una uhakika Magufuli ndio mtekaji??? Utaendelea kujifariji kwa comment kama hizi na member wenzio humu ndani usiporuhusu ufahamu wako ufanye kazi mpaka akili ikukae sawa.
  4. U

    Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Huko ghana kuna platform moja ambayo ni kama jamii forum huku. Nao wanasema bora wampe shetani kula kuliko huyo mzee akufoh. So mnayosema hapa wala hayashtui.
  5. U

    Kwa Aston Villa hii Samatta atarudishwa kundini?

    Ila jack grealish ni fundi yule jamaa
  6. U

    Dah! Huu wimbo wa Pepsi alioimba diamond ni balaa

    hakika mwamba. Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.
  7. U

    Dah! Huu wimbo wa Pepsi alioimba diamond ni balaa

    nakupata mzee wa negativity hater katika ubora wako. Ila jamaa ni balozi wa pepsi sio wa joto duniani so hapo hahusiki.
  8. U

    Wasafi TV kuanguka kabla ya kuanza

    Naona unavyocheka na emoji zako. Endelea ku enjoy kwa furaha isiyo dumu na muda sio mrefu hiyo tv itafunguliwa.
  9. U

    Wasafi TV kuanguka kabla ya kuanza

    Kwani hiyo media imeanguka??? Na siku chache zijazo utakuta inafunguliwa na huta amini.
  10. U

    Dah! Huu wimbo wa Pepsi alioimba diamond ni balaa

    Juzi juzi pepsi walikuwa wanasherekea rekodi kubwa ya mauzo kwa mwaka 2020. Hakika mkono wa mwamba umehusika
  11. U

    RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

    Kwa jeuri wasafi wanaenda kwenye party nyingine kwa hiyo miezi sita kama ile iliyopita. #mchezousiuchezeeeee
Back
Top Bottom